Saa 11 alfajiri alikuwa anatokea wapi ?
Tufanye alikuwa anadharula ya kutoka, Ok. Mwenye dharula yake anaanzaje kuokota nazi ? Na siku zote nazi sio embe kwamba zitaanguka zenyewe mtini.
Kilichonichefua zaidi ni kuweka NAZI kwenye shati. Pumbavu kabisa.
Ila alichofanya champion boy ni makosa.
Katika ile clip makonda hakukemea kupromotiwa ulevi pekee, na ndio maana alimtaja mpaka Dr shika, rudi uiskilize vzuri. Alichokemea yy ni kuwapromote vijana wa hovyo,
Kwa kifupi WAHUNI, ndo ambao alikemea kupromotiwa na kufanywa brand.
Sasa wadudu sio WAHUNI !? Kuna tofauti gani kati ya pierre...
Ukisema "wadudu wanadirishwa ili wawe watu wa maana," unamaanisha kwa sasa ni watu wa hovyo. Na ndo ukweli upo hivyo.
Na kwakuwa pierre naye alikuwa mtu wa hovyo, kwanini asingeadirishwa ili awe mtu wa maana.
Ujuha mbaya ni kudhani kuwa masikini hawezi kumsaidia mtu, lkn ujuha mbaya zaidi ni kudhani msaada ni pesa tu, unatakiwa ujue kuwa hata kuuguzwa wakati wa maradhi pia ni msaada.
Ukiwa huna watoto, ni masikini na unamaradhi jua umeyaingia mateso yasiyo vumilika, yani angalau uwe na pesa unaweza...
Yaani kama ningekuwa mtu wa siasa ningeichukua video ya wadudu wa R chuga wakiingia uwanjani leo Meimosi, then nikaimute sauti halafu nikaipandishia juu yake sauti ya mheshimiwa alipokuwa akimpa makavu Pierre liquid pale mlimani city ili niwe najiburudisha.
Wadau mtaniwia radhi kwa hili,
Nimeshuhudia mara nyingi kwa wanasiasa kuwa leo ana msimamo huu kesho ule.
Na leo limejirudia kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha mheshimiwa Paul makonda.
Wakati ule alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam aliwahi kumchana makavu Pierre liquid(pale Mlimani city kwenye...
Sa utajuaje km kwenye maisha yako unaweza kutunza idadi flani ya watoto wakati maisha huwa yanabadilika ? Na hata tukichukulia maisha yako ni magumu ukaacha kuzaa nani atakusaidia ukizeeka !?
Ni kama vile jamaa amepita na huu uzi
https://www.jamiiforums.com/threads/napendekeza-iundwe-tume-huru-ya-kuchunguza-kifo-cha-hayati-magufuli.1871631/?amp=1
Sasa km mtaani watu wameoa na wanabaka kwa kiwango hiki tunachokiona, unadhani ingekatazwa kuoa watu wangebakana kwa kiwango gani ?
Pengin hata wewe ungeingia kwenye genge la wabakaji.
Na siku NDOA ikipigwa marufuku nakuhakikishia 95% ya watu wazima watabaka, 05% ndo watasalimika.
Kwa kifupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.