Recent content by blanketyy

  1. blanketyy

    Wilaya ya Kongwa, jimbo la Spika Ndugai ni moja ya wilaya za kishamba Tanzania

    nilifika pale mwezi wa tano mwaka huu nkaoneshwa bar ya mheshimiwa Ndugai daah hata nlitahamaki sana, hata bar ya mjomba wangu ambaye kwa siku mauzo ni laki na nusu haiko vile.
  2. blanketyy

    Huyu ndiye mfalme halisi wa nyika

    kwahiyo akishachukua huo mnofu gafla anakuwa watu wasiojulikana?
  3. blanketyy

    Mzungu kaniambia nimtumie details zangu, ni zipi hizo?

    Habarini wana mjengo huu wa jamii f. Wiki iliyopita kuna mzungu wangu kutoka USA aliniambia nimtumie details zangu zote maana kuna vitu anataka anitumie, sasa je hizo details ni zipi jamani? Maana ninachokijua waga ni email, so please wazoefu naomba muweke uzoefu wenu hapa.
  4. blanketyy

    Mzungu kaniambia nimtumie details zangu, ni zipi hizo?

    Habarini wana mjengo huu wa jamii f. Wiki iliyopita kuna mzungu wangu kutoka USA aliniambia nimtumie details zangu zote maana kuna vitu anataka anitumie, sasa je hizo details ni zipi jamani? maana nachokijua waga ni email, so please wazoefu naomba muweke uzoefu wenu hapa.
  5. blanketyy

    Huu wimbo unanikumbusha mbali sana

    afu kweli.
  6. blanketyy

    Hivi wale wasichana waliokuwa na viherehere madarasani mpaka sasa wanafanya nini

    Hahaha ulikuwa sekta gan mkuu, bila shaka ulimganda mwalimu.
  7. blanketyy

    Kwa tabia zake nimeshindwa kulala nae

    Itakuwa bado kadata kwa ushuuuuzi.
  8. blanketyy

    Mke wangu ana.....

    Thanks. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. blanketyy

    Mke wangu ana.....

    Duuh hapo sasa umechapia. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. blanketyy

    Mke wangu ana.....

    Asante sana mkuu wangu. Sent from my itel it1355 using JamiiForums mobile app
  11. blanketyy

    Hii nyimbo ya 'Sheila Shaeila' ni ya nani?

    Mkuu asante sana, nafurahia uwepo wako, mara paap nimekumaso. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. blanketyy

    Hii nyimbo ya 'Sheila Shaeila' ni ya nani?

    Kudadeki goma limetiki taah ase nyie jamaa zangu wa JF n msala kaah, asanteni sana wajomba zangu wote mlotupia jina na huyu jamaa aloweka link much thanks ase kwani wote mpo right, now nipo naenjoy zaga. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. blanketyy

    Mke wangu ana.....

    Asante sana sana, God bless. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. blanketyy

    Mke wangu anapata maumivu ya tumbo

    Kwanini mjomba? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom