Huyu jamaa alienda kufanya trial Benfica wakati huo Eusebio akiwa supervisior wa vijana unaambiwa within ten minutes akawekwa pembeni akamwambia hakuna haja yakuendelea ushapita tayari
My favorite TV shows
The unit. 24
Prison break
24 legacy
The black list
The last ship
Queen of the south
Strike back(now season6)
Power
Shooter
Six
Blindspot
Designated survivor
Hostages
Seal team
Narcos
Finding Escobar's...
Ni kweli requelme aligombana na maradona akaamua kustaafu national team...ila ni moja yakipaj bora kabisa kuwahi kutokea na aliachana na soka la ulaya kisa matatizo ya kifamilia
Hayo ndo matatizo ya kuanza kuangalia mpira miaka ya 2009...mtu anaefaham soka hawez kusema eti cavani ni bora kuliko zlatan....cavani huyu anaekosa kosa magoli kipuuz
Unamfananisha neymar na Walcott?...mapenzi yakizid huaribu dhana nzima ya soka...unaizungumzia England ambayo hata kipaji cha isco kwa sasa hawana.hao england si walienda na Beckham world cup kule ujerumani kisa akae tu kwenye benchi ili kuzisumbua kamera
Mkubwa iv zlatan umemfahamu kipindi yuko united? Unamshushia sana heshima kumfananisha na drogba inawezekana hujawah kumuona zlatan wa inter,ac Milan na barca ndo mana unasema nae ni overrated
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.