Dstv ni international channels azam Juice ni kituo kinachoanza kukua so tutegemee mengi kwenye fani hii ya habari je miswada ya sheria ya hbr mafisadi watapitisha
Inaonyesha ni jinsi gani CCM imebeba vilaza na hawaelewi nini maana na midahalo,na inaonyesha ni jinsi gani mapendekezo yao ya katiba ni Bomu ambalo limeshtukiwa na wananchi na linatenguliwa kisomi na mabadiliko yapo na yanakuja yasipopatikanika ndani ya CCM yatapatikanika nje ya CCM.wananchi...
Poleni sana wana L'pard bt watanzania tu wagumu wakuelewa na baadhi yao kujifanya tunajua kuliko hao waliowekeza hapa nchini hivi mashirika makubwa ya usafirishaji duniani wanaungana wanagoma na shughuli zote zinasimama na wanatoa muda wa kusikilizwa madai yao mfano K L M & BRISTISH AIR WAYS...
Mwenye Uzi huu hata Mwingulu akisikia atalia kwa taarifa hizi pole sana kwa kuiona tanzagiza shimo la wanyang'anyi hata makuzi wanahitaji urais labda Magese wa Arusha
Serikali inahitaji kutoa ufafanuzi kwa hili kwani mambo yamepanda bei sana vinywaji ndio usiombe haya mawasiliano nayo ndio hayo,je Siri kali inaufafanuzi gani juu ya haya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.