Recent content by BlackWolf

  1. BlackWolf

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Pole sana, HP wako Gwamaka wa Simba Dormitory. Mlitutesa sana ule usiku[emoji3]
  2. BlackWolf

    Nashindwa kurudisha moyo kwa mpenzi wangu baada ya kurudiana

    Ni utoto, akikua ataacha lakini atakua amechelewa.
  3. BlackWolf

    Nashindwa kurudisha moyo kwa mpenzi wangu baada ya kurudiana

    Ushauri bora kabisa huu. Kama kukusikia amesikia, otherwise atakua ana sababu nyingine za kutaka kumuacha huyo binti. Nina mfano mzuri sana unaoendana na alichoandika, lakini kwa sababu bikra ndio lilikua lengo lake akaona hastahili tena kuwa nae. As we speak my friend yuko kwenye majuto...
  4. BlackWolf

    Mapenzi yanahitaji mchakamchaka

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wahuni sio watu wazuri, wasije kusaidia kazi.
  5. BlackWolf

    MSAADA: PC kuzima

    Hilo suala la hard-disk sijafanyia kazi ila nadhani fundi ananihusu hapa.
  6. BlackWolf

    MSAADA: PC kuzima

    Hivi vitu pasua kichwa sana aiseee...
  7. BlackWolf

    MSAADA: PC kuzima

    Dodoma bosi
  8. BlackWolf

    MSAADA: PC kuzima

    Mkuu, nimeona na kesho nitaanza kufanyia kazi.
  9. BlackWolf

    MSAADA: PC kuzima

    Habari wa weekend wanajamvi! Naomba msaada wa kuelewa hili tatizo, nina PC hapa EliteBook HP kuanzia jana jioni inaleta maruweruwe. Nikiwa naitumia inazima ghafla hata kama chaji iko ya kutosha na nimejaribu pia ikiwa direct connected na chaja. Kimbembe kinakuja ikijizima, kuwaka inachukua muda...
  10. BlackWolf

    Ninaanzaje kukukubali?

    Hapo mwenye shida ni nani "mpaka poda aliekuseduce" au "wewe uliemkubalia" halafu mwisho wa siku unamwaga OMO
  11. BlackWolf

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Tunashinda hii mechi no matter utabiri wao wa miaka
Back
Top Bottom