Ninaanzaje kukukubali?

Ninaanzaje kukukubali?

Kijana Shabab kabisa. Unapaka poda, unalegeza sauti na kuongea kama mwanamke. Mwili unaulegeza kama mwanamke.

Outing unakula soseji moja na nusu glasi ya juisi, halafu unajitia huwezi kumaliza.

Maongezi yako yote, ni kujisifia. Gari unaloendesha umeazima..Lol

Mwanaume unatakiwa ujiamini. Ishi kiume, kupretend waachie wanawake.

Kama huna kitu, ndo hali yako.Ila onesha namna unavyoweza kupambana na hatimaye kupata matokeo.

Ninyi wanaume wa Dar vipi?
Hapo mwenye shida ni nani "mpaka poda aliekuseduce" au "wewe uliemkubalia" halafu mwisho wa siku unamwaga OMO
 
Hakika , mwanamme nilazima ujiamini kwa jinsi ulivyo.

Leo hii nashuhudia lundo kubwa LA wanaume waloishia kua na Madeni eti kisa KUONEKANA..
Yeah, wanajifanya wa kishua kumbe 0. Hakuna hasara utakayopata ukiwa real. Be you, usi act maisha maana huwa inatokea watu puani.
 
Hahahaa we jamaa hapo juu conor1 nilijua tu ile ID ya conor walikupa ban mana nilikua sikuoni na nilijua tu kwa stail yako ya kupinga kila uzi au commenj jf lazma wakuban, ngoja ninukunukuu moja ya coment zako ulizokua unazipenda "wewe ni empty brain kbsa, asubuh hii unawaza majivu" ndo ukaswitch from conor to conor1, huwez kujificha mana character yako ni ile ile ya kupinga kila uzi jf.
 
Hahahaaaaaa mwanamme lazima uwe mkakamavu ,mgumu ,,huna jiamin km huna ,nikidogo jiamin ...

Kuna jamaaa ,, yaaan akiwa ana demu anakufata umwachie ndani mwako ,, sasa banaa mataiz anayoyafanya haaaaaaaaa mademu wanaishiaga kumwambia "nioe baby ,nioe nikupe watoto"..... Jamaa anageto lake kiaina ila hajiamin daaaahhhhh... Mwisho wasiku amekua hakai na mwanamke hata mwezi yaaan ,,Siunajua uongo mwisho huwa ni Aibu ?? Sasa kuficha aibu ,ameamua kua mtu wakula mzigo nakusepa basiiiii...

Mwanamme nikujiamin ,km unajua sarakasi ,Fanya sarakasi mwanamke wako aone maajabu km huyu kaka yangu
69511b8b419915c1f0d890ebd88c3579.jpg
.. Yeah am rude/angry ukinipenda poaa usiponipenda poaa ,,yann pretend wakat IPO siku Asili yangu utaijua??.
Hapo chachaa,..halafu ukweli humweka MTU huru aiseeee yaani unaishi peacefully
 
Hapo chachaa,..halafu ukweli humweka MTU huru aiseeee yaani unaishi peacefully
Sasaaaaaaaa unakua huruuuuuuuuuuu balaaaa ,, maisha yanakua matamuuuuu......naakija kwako kukutembelea huna hofu kabisaaa.

Sasa unagegeda ,alafu mshikaji wako naye anakupigia simu ** oya oyaa maliza fasta man ,nakuja na demu Wangu* hapo ndo utaanza kuimba .....

Naruuuuuuuuuuudi nyumbaaaaani

Daiiiiiimaaaaa kwakoooooooooo

Kwaaaaaupendooo niiipoke ..

Sasaaaaaa naruuuuuudi
 
hapo mwisho vp
kwani ni lazima udate na mwanaume wa dar........kuna wenzio wanawapenda hao ambao we huwataki
 
Back
Top Bottom