Hahahaaaaaa mwanamme lazima uwe mkakamavu ,mgumu ,,huna jiamin km huna ,nikidogo jiamin ...
Kuna jamaaa ,, yaaan akiwa ana demu anakufata umwachie ndani mwako ,, sasa banaa mataiz anayoyafanya haaaaaaaaa mademu wanaishiaga kumwambia "nioe baby ,nioe nikupe watoto"..... Jamaa anageto lake kiaina ila hajiamin daaaahhhhh... Mwisho wasiku amekua hakai na mwanamke hata mwezi yaaan ,,Siunajua uongo mwisho huwa ni Aibu ?? Sasa kuficha aibu ,ameamua kua mtu wakula mzigo nakusepa basiiiii...
Mwanamme nikujiamin ,km unajua sarakasi ,Fanya sarakasi mwanamke wako aone maajabu km huyu kaka yangu
.. Yeah am rude/angry ukinipenda poaa usiponipenda poaa ,,yann pretend wakat IPO siku Asili yangu utaijua??.