Kitu kimoja sijaelewa bado, yaani fisi alimg'ata mwanamke makalio baada ya jamaa kupambana na fisi na kushinfwa fisi akamuuma mtoto akmuua, je mtoto alishuka kutoka mgongoni? Afu baada ya hapo sijajua huyo mama alipong'atwa makalio ikawaje maana inaonekana alieko ospital ni jamaa na sio...
Ndugu unatakiwa utambue kuwa wale watangazaji ni watu wenye elimu na kazi yao pamoja na maadili kwaiyo awawezi kumuuliza maswali nje ya utaratibu na misingi ya utangazaji kwaiyo yeye mwenyewe ndo anatakiwa atumie akili kujibu na sio kuacha nafasi wazi, je atajibu nani ayo maswali kama sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.