Recent content by blacksamurai

  1. blacksamurai

    Powertiller (kubota) trekta ya matairi mawili iliyokuja kufanya mapinduzi ya kilimo cha mpunga Tanzania

    Powertiller imara kwa hapa Tanzania ni Kubota na Yanmar. Na bei ni kati ya 12m mpaka 14m hapo
  2. blacksamurai

    Nahitaji vindama vya mbuzi

    Nimemaanisha ushuru wa mbuzi. Kuonesha mahali wametoka na ni njia ipi watapita mpaka kufika huko waendapo
  3. blacksamurai

    Nahitaji vindama vya mbuzi

    -Mbuzi wadogo ila tayari wanakula majani bei kati ya 40k mpaka 60k -Huwezi wapata kwa mfugaji mmoja wote -Gharama za ziada kama usafiri wa kukusanya mbuzi kwa huku nilipo ujiandae na 20k -Kibali cha kusafirisha mbuzi mmoja ni 3500(muhimu kuwa nacho, barabarani mambo ni mengi) -Barua ya...
  4. blacksamurai

    Natafuta shamba la kukodi morogoro kwaajiri ya kufuga

    Unataka ekari ngapi, na unataka kufuga nini?
  5. blacksamurai

    Ntatafuta shamba Morogoro kwaajili ya ufugaji

    Nadhani nilishawahi kukuelekeza wapi unaweza kupata mashamba kwa wilaya ya Morogoro mjini
  6. blacksamurai

    DOKEZO Mradi wa Starcity ni hatari kwa Wakazi wa Morogoro

    Hilo eneo la star city, kutokea barabara ya lami hadi kule kwenye fence ya mwendokasi, kulishapimwa hivyo viwanja na vimeuzwa tayari. Shida ni hao wamiliki wapya kiviendeleza. Ukishavuka reli ya mwendokasi na mto ule. Lile shamba lote la mikonge ukiwa unaelekea kiegea B na kipera. Huko bado...
  7. blacksamurai

    Trekta ya aina gani ni bora kwa mazingira ya Tanzania?

    New holland Massey fergusson Swaraj Mahindra nae anakuja kwa kasi Farmtrac
  8. blacksamurai

    My personal Top 10 list ya movie za kusikitisha nilizobahatika kuona

    Naongezea hizi The Boy In The Stripped Pyjamas The Pianist Brothers Saving Private Ryan Fault In Our Stars The Way Back (2010)
  9. blacksamurai

    Natafuta heka kumi za kulima mkonge

    Morogoro maeneo ya Kimamba wanalima sana mkonge. Pia Morogoro mjini ukipita Tungi ukaelekea maeneo ya mbele zaidi, wanakuita Bwawani, Kiegea kwachagiza Ngongere na Sangasanga. Huko pia mkonge unakubali. Bei ya ekari moja ni kuanzia laki 3 na kuendelea
  10. blacksamurai

    Natafuta heka kumi za kulima mkonge

    Tafuta shamba maeneo ya Kwedikwazu na Korogwe vijijini. Ila zingatia shamba liwe karibu na mobile(kiwanda cha kuchakata).
  11. blacksamurai

    Nini kitasaidia mti wa mwembe kuzaa matunda?

    Zingatia pia kupuliza dawa wakati muembe umechanua maua, itasaidia kuboresha maua yasipukutike. Pia dawa za wadudu, kuna nzi wa matunda(washenzi sana hawa). Sisimizi, buibui na wadudu wengine. Hawa wote usipowadhibiti, wataharibu maua na wengine wataharibu maembe. Samadi ni muhimu pia...
  12. blacksamurai

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Kuanzia 240 hapo ni uhakika sana
  13. blacksamurai

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Hiyo panel kwa betri la n100 ni kutoitendea haki yake. Kama una betri la n100 panel ya 120w inakutosha kabisa
Back
Top Bottom