pole kijana mimi ushauri wangu ni bora mliosoma mambo ya mafuta na gesi mkaunga kikundi halafu mkaiface wizara au serikali kama group halafu mkaeleza changamoto zenu..halafu kwa pamoja mkatafuta njia ya kutatua changamoto zenu,,kwa kua mmesoma masomo ya sayansi sioni dhambi kwa muda huu serikali...
Nauza kiwanja Bagamoyo Kiromo si mbali na Barabara kuu,,ukumbwa 20*20,,bei ni milion 4.5,,kiwanja ni changu situmii dalali,,piga simu namba 0712001067,,nikupe maelezo,,karibu sana..
Habari,
Nauza kiwanja Eneo la Bagamoyo Kiromo sio mbali na barabara kuu ya Bagamoyo ( kama mita 300 kutoka Bagamoyo Road), ukubwa wa kiwanja ni robo heka, Bei yake ni sh milioni 5.5.
Kwa mawasiliano piga namba +255712001067.
Nauza kiwanja eneo la Bagamoyo Kiromo, sio mbali na Barabara kuu ya Dar Bagamoyo, kama mita 400 hivi kutoka barabarani,,ni uwanja ukubwa wa robo heka,bei ni milioni tano ...kwa mtu mwenye kutaka tafadhali tuwasiliane kwa namba 0712001067,,Ahsanteni..
Ewura tangu watoe tangazo lao la kazi mwaka jana(2016) October na deadline kuapply ilikua tarehe 15 Nov,,mpaka leo hawajaita watu kwenye interview,Tatizo ni nini??
Ewura tangu watoe tangazo lao la kazi mwaka jana(2016) October na deadline kuapply ilikua tarehe 15 Nov,,mpaka leo hawajaita watu kwenye interview,Tatizo ni nini??
siku ukiwa muanga ndio utaelewa practicaly hiyo kauli ina maana gani,,huwezi kusema moto unaunguza wakati hujawahi kuushika,,kuna nafasi na mashirika very sensintive na hawapendi kumuweka mtu ambaye hawamjui hata kama unajua kama messi...
kaka huyu jamaa hayajamkuta ni sawa na kuelezea machungu ya kufiwa wakati hayajakukuta,,kimsingi jamaa hawajali kabisa UJUZI wa mtu alikua nao tufauti na PRIVATES kampani wao wanatafuta mtu atakayezalisha na sivinginevo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.