Recent content by Blackamoor

  1. B

    Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

    Nililipa dola 500 mwanzoni ( consultation + braces). Then nikawa nalipa kidogo kidogo kila ninapoenda for adjustments kila baada ya miezi 2. Mwisho unalipia retainers. Hiyo ilikuwa mwaka 2009 mpaka 2011. Niliwekewa pia crowns meno ya mbele maana yalivunjika zamani, so wakafanya root canal na...
  2. B

    Huyu Daktari wa meno anastahili Pongezi

    Nikiwa mdogo nilikuwa naitwa minjino...ilikuwa experience mbaya sana, nilijichukia sana. Mwaka 2009 nikaamua kuweka braces baada ya kujichanga kwa muda kiasi. Niliambiwa na daktari chanzo cha meno yangu ya juu na ya chini kukaa vibaya ni kuwa nilikuwa nayasukuma nje kwa ulimi. Kabla ya...
  3. B

    Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

    Pole sana. Ila huko nje yanawapataga makubwa sana. Nina ndugu yangu alikutana na maswahiba Japan baada ya kujihusisha na biashara ya magari na wajapan toka kule kuleta nchini. Walianza na magari machache, yakaisha trip ya pili yakaongezeka zaidi biashara ikaenda vizuri , trip ya tatu mzigo...
  4. B

    Harufu sehemu za siri wakinadada tatizo ni nini?

    Kapime magonjwa ya zinaa ili kama kuna tatizo atibiwe na kupona
  5. B

    Sioni Simba anatokea wapi leo. Kila nilipoangalia sijaona

    Ramli chonganishi zimebuma
  6. B

    TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Back
Top Bottom