yaani kwamba sehem unayoenda wewe unavuta Mtu wakua nayeSijatulia kwa staili gani?
Mi nilikua napenda kweli wao wananizingua..
#YNWA
yaani kwamba sehem unayoenda wewe unavuta Mtu wakua nayeSijatulia kwa staili gani?
Mi nilikua napenda kweli wao wananizingua..
#YNWA
Na huyo mwanaume anaeeleza jee? Amekuwa sperm donor halafu eti analinganisha pua na michoro ya mikono.Kweli wanawake Nyo***
Wanaume mna roho ngumu sana mambwa nyieBro, kuna mganga 1 wa kienyeji nilikutana naye Mwanza alinipeleka malaya 1 ambaye tulikutana katika harakati za maisha. Alipojua nina matatizo kadha wa kadha ndo akanipeleka huko. Yule babu alinipa kijiti nikakishika.....baadae akakichukua mwenyewe. Akaanza kunipa habari zangu na kunitabiria baadhi ya mambo.
Mojawapo ya jambo ni kuwa nina mtoto 1 wa kiume, japo mi mwenyewe simjui. Nilitafakari sana, ikanibidi nianze kuuliza uliza kwa watu wanaowajua x zangu by then wapo Dar. Ni kweli mmoja ana mtoto wa kiume.
Lakini sijawahi kumfatilia wala kumuulizia huyo mtoto. Imani yangu ilikuwa, kama nina uwezo wa kuzalisha, basi nitapata watoto wengine.
Sasa hivi nina mtoto. Lakini huyo kwanza anakaribia miaka 10 na sijui yuko wapi.
Dada mbona kama sijakuelewa.Mnaotamani roho ngumu sana mambwa nyie
punguza hasiraWanaume mna roho ngumu sana mambwa nyie
Bahati ni nini?Achana na' KUOA'tangu 2012 unataka kuoa mpaka wa leo,naungana na wewe kusema USIOE huna bahati ya kuoa
Nimefanikiwa kupata wawili naishi nao.Ipo siku watoto watakutafta we kazana kutafta pesa
Upo mkuu mwenye akili.Punguani
Zina vunjiwa msikitini na KISOMO au kanisani na FIREEEEEE?Sipo kiroho sana ila swala lako linahitaji msaada kiroho
kuna roho zimekushikilia,kuna vifungo/kamba zinahitaji kukatwa na kuvunjwa vunjwa
you need help brother,unapambana na visivyoonekana wa macho si rahisi kama unavyofikiri
kubali kataa rudi nyuma jichunguze angalia ulipita wapi kisha safisha vunja vunja then Start A fresh
Unaishi ktk ulimwengu flani ambao sijui kama unaelewa lakini swala lako linamuhitaji MUNGU zaidi kuliko shauri zetu.
sure brother.. it's true...Ndo maana sipendagi kumwaga ndan kwa mwanamke nisie kua na malengo nae.
Aya Mateso ya nafsi anayopitia mtoa mada,
Ndio wanayapitia wanaume wengi Sana Kwenye jamii tunayoishi kila siku.
Sema tu mtoa mada kajitoa muhanga kuyaelezea.