Recent content by Black_lion

  1. Black_lion

    PreGE2025 Nyuma ya Pazia: Gwajima kuandaliwa kuchangamsha uchaguzi mkuu 2025

    Tatizo mambo ya msingi yanaposemwa nyinyi mnayageuza kama propaaganda za kisiasa, uhai wa mtu una thamani kubwa kuliko vyeo vya kisiasa, so sio kitu cha kufanyia mzaha au mapuuza. Alichozungumza Gwajima ndo hali halisi ya tulipo sasa, uCCM au uCHADEMA una thamani gani kulinganisha na uhai wa...
  2. Black_lion

    Jipatie Rangi bora za decoration kutoka SILKCOAT PAINT

    Idadi ya ndoo za rangi utakazotumia katika nyumba yako inatemega vitu vifuatavyo - Ukubwa wa eneo unalotaka kupiga rangi, hii hupimwa kwa square meter. - Aina ya rangi unayotaka kupaka. Hapa unatakiwa ufahamu, rangi zipo za aina tofauti tofauti, na rangi hizi hutofautiana katika coverage wakati...
  3. Black_lion

    Jipatie Rangi bora za decoration kutoka SILKCOAT PAINT

    Yes, inawekana kutumia primer au binder za kampuni nyingine
  4. Black_lion

    Jipatie Rangi bora za decoration kutoka SILKCOAT PAINT

    Kama unahitaji kufanya finishing za mjengo wako, basi kwa upande wa rangi, hakuna rangi bora kama za Silkcoat paint. Hizi ni rangi za kituruki -Hapa nazungumzia Stone au wengi wanapenda kuziita Drewa Pia Decorative plaster hizi zipo za mifuko na ndoo, za ndoo zinaitwa Silkoterasit kuna...
  5. Black_lion

    Kwanini wakristo tusitengeneze sheria za kulinda imani yetu?

    Ukristo haujawahi kuwa chimbuko la ushenzi na kwamwe hakutakuwa, bali waovu wanajivika vazi la ukristo na kutimiza wanayokusudia, ikumbukwe ukristo ni imani na si watu, hivyo yeyote anayemuamini Kristo na kufuata mafundisho yake huyo ndiye mkristo, ikiwa mtu anaenda kinyume na hayo huyo si...
  6. Black_lion

    Kwanini wakristo tusitengeneze sheria za kulinda imani yetu?

    Katakacho kufanya usitetereke na Imani ni Kufanya sana ibada, kusoma sana neno la Mungu na kuzidisha maombi kwa sababu ni lazima iwe hivyo ili imani zipimwe, hayo ndo majaribu ambayo inabidi ukeshe ukiomba usije ingia ndani yake. Shetani anafanya kazi kubwa sana hasa hizi nyakati za mwisho.
  7. Black_lion

    Msaada kuhusu swissport

    Wadau habari za humu. Naomba ufafanuzi katika hili, Kuna mzigo nimetumiwa na ndugu kutoka UK kuja Tanzania na amelipia kila kitu kuhusu transport cost. Sasa nimepigiwa simu na jamaa kutoka Kenya ananifahamisha kwamba huo mzigo upo Kenya ila natakiwa nitume pesa kiasi cha zaidi ya milioni...
  8. Black_lion

    Msimu wa kununua zao la ufuta ni upi?

    Jamani wanajukwaa I hope mko poa, nauliza Kama kwa kipindi hiki cha mwezi wa saba mpaka wa nane, Kama ntaweza kupata ufuta wa kununua takribani Tani 1000
  9. Black_lion

    Mbowe amesema angekuwa na roho nyepesi na mpenda fedha angekuwa ameshahama upinzani

    Siasa ya bongo bana, mwanachama kutoka upande wa pili akija kwenu amefuata mabadiliko, mwanachama wenu akihamia kwingine amehongwa
Back
Top Bottom