Boss wangu alikua anatuweka vikao kila siku asubuhi ambavyo havina hata maana, matumizi mabaya ya pesa, kuhonga viongozi wa serikali kwa totoz ndo usiseme. Sasa hivi hana hata mia mbovu kafilisika vibaya yupo kijijini kwao. Nikimuona naweza nikampa hata 600 anywe pepsi
kipindi kile Lema alivyosema boda boda sio kazi rasmi walikuja juu na kudai wanaingiza pesa nyingi kupitia boda boda na wengine wamejenga. kuna mwingine alisema anaingiza hata milioni kadhaa kwa mwezi. Sasa leo 65,000 kwa mwaka ni kubwa? 🤣🤣 boda boda bhana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.