Utaratibu haukutumika bali nguvu za kijinga
Wanasema wamepotea kwanini usiwaamini?
Unapiga ili iweje
Kwani walikuwa na silaha wakiwinda au wakivusha kitu?
Hawa jamaa wwdhibitiwe kwani kuuwa kwao ni jambo la kawaida sana
Miji mingi duniani sio lazima uende mpaka stendi kuu bali unaweza kupandia au kushuka road bay kama una ticket yako
Makosa yalianza walipojenga stendi kubwa hivyo
Bora zingekuwa sehemu za kushushia watu hata pembeni mwa Barabara kama majiji makuu ya Ulaya
Traffic itakuwepo tu
Nani anaewapa mamlaka hayo ya kuuwa kila leo?
Hakuna sheria kabisa na wakubwa wao wako kimya.
Unamtuhumu mtu kuwa ni jangili kisa anapita hifadhi?
Na kwanini wanakuwa wakatili kiasi hiki
Vijana wamejieleza kwanini uwatese
Ni uonezi tu wala sio haki
Leo duniani wanatumia kama dawa
Wenye Parkinson diseases wanapata nafuu pindi wanapotumia, hata wenye kifafa wanapata nafuu sana wakitumia mafuta ya bangi.
Biashara ya Bangi ni nchi nyingi zinafanya na wengine wameamua kukubali
Ni kifungo kikubwa sana hicho na...
Kwa nchi masikini, serikali kufikia maamuzi ni ndoto
Kwanini ?
Kwa sababu hamtibiwi bure
Wangekuwa wanatibu bure basi hata nzi wangepigwa marufuku kutua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.