Recent content by Black Sniper

  1. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Mimi nikajua waarabu wanalindwa bure na mshikaji wao USA kumbe wanalipia bwana

    Hakuna free lunch boss Miaka yote hiyo hikujua kuwa wazungu wako ME kwa maslahi yao? Kuna mikataba kabisa
  2. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Ni mashine gani bei kati ya 1m to 5m ukinunua zinaweza kukuingizia kipato kizuri kama side hustle ?

    Incubator machine Au ice cream machine
  3. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Laptop nilipewa na idara ya kazi kwa ajili ya kutafutia kazi Sikuitumia kabisa ingawa nilipata kazi Nilimtumia kijana wa chuo imsaidie Kama huna kazi nacho toa
  4. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Uchafu mijini ni sera ya CCM isiyoandikwa popote.

    Kidumu Chama 😂😂
  5. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Uchafu mijini ni sera ya CCM isiyoandikwa popote.

    Umesema kweli Halafu unasikia anasema kakusanyeni mapato Halafu wa kwanza kubanwa ni wafanya biashara
  6. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Uchafu mijini ni sera ya CCM isiyoandikwa popote.

    Uchafu ni hulka ya watu wengi sana nchini Hata Hawa viongozi unaowasema, bila wafanyakazi wao wa ndani wangekuwa na mitaro michafu na hata nyumba zisingekalika Sio masikini ndio wachafu tu Mkodishie nyumba msomi halafu Nenda baada ya miezi mitatu kama utakuta vitasa
  7. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Kutoka X ukurasa Wa Roma Kuhusu Waziri Katambi.

    Ni aibu kubwa sana hii Laiti kama leo makala yangeandikwa nje ya kuwa anahangaika na haya huku akiwa na cheo kikubwa hivyo Kwa kweli ingekuwa aibu na kichekesho cha mwaka
  8. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Safi sana Kila mtu ajue haki zake
  9. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Je mrejesho huwa upoje? Wanafukuzwa au wanahamishwa?
  10. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Ni mfumo ambao mmekataa kuuacha Kila mmoja katika nafasi yake anatoa na kupokea Rushwa. Kila mmoja anajua hapati kitu bila kutoa hongo au Rushwa Unaenda ofisi imeandikwa ukiombwa rushwa toa taarifa hizo ila ni maandishi tu Kwanini hawakamatwi Kama traffic police wa Kenya? Mifumo mibovu...
  11. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Wengi hawajui wajibu wao
  12. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Wengine huwa hawajui ukubwa wa hiyo wizara
  13. Black Sniper

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wauguzi Wagoma: Vifo 79 Vyaripotiwa kwa Siku Tatu Huku Mgomo Ukiingia Siku ya 37

    Hao wagonjwa wana dhambi gani Na kwanini serikali isiajiri watu haraka ili kunusuru vifo? Kuna madaktari jeshini wengi tu na sekta binafsi Au kwa Waafrika ni ndoto hizi?
  14. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Cheo chake ni kikubwa sana ukiangalia na anayofanya. Au hawajui
  15. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Siasa za Africa aisee
Back
Top Bottom