Recent content by Black Sniper

  1. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Askari watatu wa Uhifadhi Ngorongoro washikiliwa kutokana na kifo cha fundi gereji Ngorongoro

    Utaratibu haukutumika bali nguvu za kijinga Wanasema wamepotea kwanini usiwaamini? Unapiga ili iweje Kwani walikuwa na silaha wakiwinda au wakivusha kitu? Hawa jamaa wwdhibitiwe kwani kuuwa kwao ni jambo la kawaida sana
  2. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Miji mingi duniani sio lazima uende mpaka stendi kuu bali unaweza kupandia au kushuka road bay kama una ticket yako Makosa yalianza walipojenga stendi kubwa hivyo Bora zingekuwa sehemu za kushushia watu hata pembeni mwa Barabara kama majiji makuu ya Ulaya Traffic itakuwepo tu
  3. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Nani anaewapa mamlaka hayo ya kuuwa kila leo? Hakuna sheria kabisa na wakubwa wao wako kimya. Unamtuhumu mtu kuwa ni jangili kisa anapita hifadhi? Na kwanini wanakuwa wakatili kiasi hiki Vijana wamejieleza kwanini uwatese
  4. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Sheria ya miaka 30 kwa bangi na mirungi ipitiwe upya

    Ni uonezi tu wala sio haki Leo duniani wanatumia kama dawa Wenye Parkinson diseases wanapata nafuu pindi wanapotumia, hata wenye kifafa wanapata nafuu sana wakitumia mafuta ya bangi. Biashara ya Bangi ni nchi nyingi zinafanya na wengine wameamua kukubali Ni kifungo kikubwa sana hicho na...
  5. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Sheria ya miaka 30 kwa bangi na mirungi ipitiwe upya

    Naunga mkono hoja Mafuta ya bangi yanatibu magonjwa Na nchi nyingi bangi inaruhusiwa Mirungi itakuwepo tu na bangi pia Ila sio kwa mvua 30 kifungo
  6. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hapo zimepita tu kama zilikuwa zako na zimeenda kwa mlengwa Hela za kutakatishwa hizo Acha ziende tu
  7. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hongera sana Mkuu, shikilia hap
  8. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu ina watu duni mpaka wanagombania bagia za bure?!

    Kama sio laana watagombaniaje bajia na soda Laana ni wakati mtu anakuwa tegemezi kila kukicha
  9. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Natumaini iwe hivyo
  10. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu ina watu duni mpaka wanagombania bagia za bure?!

    Umasikini ni Laana
  11. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    Usiseme hatuna hela, sema sina hela. Wajanja wanabuni mbinu kila asubuhi
  12. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Kukaanga Chapati kwa kutumia Sponji daktari Koshuma asema magodoro ya kisasa yanatengenezwa kwa povu lenye kemikali za viwandani

    Kwa nchi masikini, serikali kufikia maamuzi ni ndoto Kwanini ? Kwa sababu hamtibiwi bure Wangekuwa wanatibu bure basi hata nzi wangepigwa marufuku kutua
  13. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Siasa za Africa ni kichekesho Sijui kwanini historia hujirudia Utasikia someone kahama chama na anaenda kugombea What a load of rubbish
  14. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Hivi zile pisi kali zinazouza juice Kariakoo zinajiendesha zenyewe kweli?

    Nafikiri ili kupata uhakika ingebidi umtongoze mmoja ili uwe na jibu kamili Wengine tuko vijijini huku
Back
Top Bottom