Recent content by Black Sniper

  1. Black Sniper

    SI KWELI Jeshi la Marekani limetangaza kifo cha Benjamin Netanyahu

    Kwa kuwa alikuwa Rais wao ama
  2. Black Sniper

    Suala la Iran limeshakuwa gumu? Trump anadai kuna nchi hazina shauku ya kuisadia Marekani

    Ooh sawa Ila kuna wakati pia alikuwa anawashambulia kuwa kawekeza sana kuliko wao Trump yamemkuta safari hii, anataka wagawane losses
  3. Black Sniper

    Suala la Iran limeshakuwa gumu? Trump anadai kuna nchi hazina shauku ya kuisadia Marekani

    Kweli kuna nchi zimeitegemea kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40 Lakini Je wanalinda bure? Au wanalipwa? Nijuavyo mimi wanalipwa tena hela ndefu kwa uwepo wao kama nchi za mashariki ya kati Na sio Marekani pekee bali nchi nyingi zinalinda
  4. Black Sniper

    Kweli wayahudi wanatawala dunia, kila mtu muoga

    America yeye anaangalia maslahi tu Hata Saddam alipoingia Q8 Taifa la kwanza kuandaa mipango ya kuivamia Iraq alikuwa ni US Kwa hiyo sio Israel tu anaesaidiwa bali yapo mataifa mengi yakiguswa tu wamarekani hao
  5. Black Sniper

    Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Mimi Najua kuwa Saudia walitengeneza pipe za mafuta tangu mwaka 1981 wakati nikiwa huko Ipo pipe inayosafirisha mafuta kutoka Gulf of Oman mpaka Red Sea na hata UAE na Oman wanayo pia Hilo Saudia waliliona miaka 45 iliyopita na pipe hiyo Ina uwezo wa kupitisha 7 million bpd
  6. Black Sniper

    Hali ni mbaya Telaviv ukirekodi video unapigwa risasi

    Wanalia eti tunapigwa na Iran kila kona na wao wamekaa kimya 😂😂 Na sasa CCTV zote wameng’oa kisa wasiweke mitandaoni Safari hii myahudi ametoa sauti
  7. Black Sniper

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Pole sana Watu ambao hawajawahi kuwa na mifugo au hata paka au mbwa hawawezi kukuelewa kabisa. Inauma sana kama mmezoeana kwa miaka
  8. Black Sniper

    Hali ni mbaya Telaviv ukirekodi video unapigwa risasi

    Na wengine watakufa kwa kukosa chakula kama walivyowafanyia Gaza Yanayowakuta ni Yale waliyokuwa wanafurahia Palestine wamepata faraja sana kwa haya. Kuna Waziri wa Israel analia kuwa wale wa haki za binadamu wako wapi?
  9. Black Sniper

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Na yule mwanasiasa aliezika mbwa wake nae dishi liliyumba? Mimi Najua ni kawaida sana kuzika wanyama ingawa yeye kaongeza mbwembwe na kujengea kabisa Ila Ulaya kuna makaburi ya mbwa na paka na unalipia hela ndefu kuzika Wanaweka na mashada ya maua na kuomboleza kabisa Yaani mbwa umeishi nae...
  10. Black Sniper

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Russia ameamua kumsaidia Iran kwa kumrahisishia kazi kutumia satellite zake ili Iran apige targets bila kukosea Na huo ndio urafiki wa kweli
  11. Black Sniper

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Hali itazidi kuwa mbaya for the coming days US anaanza kuachilia vikwazo kwa Mrusi kisa mafuta Waarabu lazima wamuinamie Muajemi Vita hii ni ya kiuchumi na sio kidini Pamoja na kuuwa viongozi 48 wa Iran lakini kosa kubwa kuuwa kiongozi Mkuu Wachambuzi wa vita wanajua kabisa US...
  12. Black Sniper

    Pikipiki ya Umeme OASIS – Tembea Km 130 kwa Unit 4 Tu za Umeme!

    Asante Mkuu hilo ndio la muhimu zaidi maana wengi wanaagiza bila spea
  13. Black Sniper

    Mwigulu ni tumaini jipya la Watanzania

    Kukamatwa kisa ulikuwa unamiliki Radio kwa hela zako nao eti ni uzalendo na kuwatetea wanyonge. Kama ilikuwepo miaka hiyo basi na wewe ni tatizo kwa kuwasifia hao watu waliodhulumu Mali za watu Mkoloni aliacha kila kitu kuanzia rasilimali zetu mpaka hela nyingi Wakakabidhiwa wakaanza ooh...
Back
Top Bottom