Kweli kuna nchi zimeitegemea kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40
Lakini Je wanalinda bure? Au wanalipwa?
Nijuavyo mimi wanalipwa tena hela ndefu kwa uwepo wao kama nchi za mashariki ya kati
Na sio Marekani pekee bali nchi nyingi zinalinda
America yeye anaangalia maslahi tu
Hata Saddam alipoingia Q8 Taifa la kwanza kuandaa mipango ya kuivamia Iraq alikuwa ni US
Kwa hiyo sio Israel tu anaesaidiwa bali yapo mataifa mengi yakiguswa tu wamarekani hao
Mimi Najua kuwa Saudia walitengeneza pipe za mafuta tangu mwaka 1981 wakati nikiwa huko
Ipo pipe inayosafirisha mafuta kutoka Gulf of Oman mpaka Red Sea na hata UAE na Oman wanayo pia
Hilo Saudia waliliona miaka 45 iliyopita na pipe hiyo Ina uwezo wa kupitisha 7 million bpd
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.