Recent content by Black Sniper

  1. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  2. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  3. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Utakuwa umemuonea Unatafuta kama kumi hivi
  4. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Dili hilo
  5. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kubadili Oil tu hela ya Bongo 65m Ukishangaa zaidi Angalia na taa hizo
  6. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Yanayoendelea duniani
  7. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Jeshi la Marekani limetangaza kifo cha Benjamin Netanyahu

    Kwa kuwa alikuwa Rais wao ama
  8. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Suala la Iran limeshakuwa gumu? Trump anadai kuna nchi hazina shauku ya kuisadia Marekani

    Ooh sawa Ila kuna wakati pia alikuwa anawashambulia kuwa kawekeza sana kuliko wao Trump yamemkuta safari hii, anataka wagawane losses
  9. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Suala la Iran limeshakuwa gumu? Trump anadai kuna nchi hazina shauku ya kuisadia Marekani

    Kweli kuna nchi zimeitegemea kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40 Lakini Je wanalinda bure? Au wanalipwa? Nijuavyo mimi wanalipwa tena hela ndefu kwa uwepo wao kama nchi za mashariki ya kati Na sio Marekani pekee bali nchi nyingi zinalinda
  10. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Kweli wayahudi wanatawala dunia, kila mtu muoga

    America yeye anaangalia maslahi tu Hata Saddam alipoingia Q8 Taifa la kwanza kuandaa mipango ya kuivamia Iraq alikuwa ni US Kwa hiyo sio Israel tu anaesaidiwa bali yapo mataifa mengi yakiguswa tu wamarekani hao
  11. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Mimi Najua kuwa Saudia walitengeneza pipe za mafuta tangu mwaka 1981 wakati nikiwa huko Ipo pipe inayosafirisha mafuta kutoka Gulf of Oman mpaka Red Sea na hata UAE na Oman wanayo pia Hilo Saudia waliliona miaka 45 iliyopita na pipe hiyo Ina uwezo wa kupitisha 7 million bpd
  12. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Hapa Germany Leo temperature iko 4°C mpaka ndevu zinaganda

    Acha nifturu
  13. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Hali ni mbaya Telaviv ukirekodi video unapigwa risasi

    Wanalia eti tunapigwa na Iran kila kona na wao wamekaa kimya 😂😂 Na sasa CCTV zote wameng’oa kisa wasiweke mitandaoni Safari hii myahudi ametoa sauti
  14. Black Sniper

    JamiiForums Tanzania Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Pole sana Watu ambao hawajawahi kuwa na mifugo au hata paka au mbwa hawawezi kukuelewa kabisa. Inauma sana kama mmezoeana kwa miaka
Back
Top Bottom