Laptop nilipewa na idara ya kazi kwa ajili ya kutafutia kazi
Sikuitumia kabisa ingawa nilipata kazi
Nilimtumia kijana wa chuo imsaidie
Kama huna kazi nacho toa
Uchafu ni hulka ya watu wengi sana nchini
Hata Hawa viongozi unaowasema, bila wafanyakazi wao wa ndani wangekuwa na mitaro michafu na hata nyumba zisingekalika
Sio masikini ndio wachafu tu
Mkodishie nyumba msomi halafu Nenda baada ya miezi mitatu kama utakuta vitasa
Ni aibu kubwa sana hii
Laiti kama leo makala yangeandikwa nje ya kuwa anahangaika na haya huku akiwa na cheo kikubwa hivyo
Kwa kweli ingekuwa aibu na kichekesho cha mwaka
Ni mfumo ambao mmekataa kuuacha
Kila mmoja katika nafasi yake anatoa na kupokea Rushwa.
Kila mmoja anajua hapati kitu bila kutoa hongo au Rushwa
Unaenda ofisi imeandikwa ukiombwa rushwa toa taarifa hizo ila ni maandishi tu
Kwanini hawakamatwi Kama traffic police wa Kenya?
Mifumo mibovu...
Hao wagonjwa wana dhambi gani
Na kwanini serikali isiajiri watu haraka ili kunusuru vifo?
Kuna madaktari jeshini wengi tu na sekta binafsi
Au kwa Waafrika ni ndoto hizi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.