Kweli kuna nchi zimeitegemea kiulinzi kwa zaidi ya miaka 40
Lakini Je wanalinda bure? Au wanalipwa?
Nijuavyo mimi wanalipwa tena hela ndefu kwa uwepo wao kama nchi za mashariki ya kati
Na sio Marekani pekee bali nchi nyingi zinalinda
America yeye anaangalia maslahi tu
Hata Saddam alipoingia Q8 Taifa la kwanza kuandaa mipango ya kuivamia Iraq alikuwa ni US
Kwa hiyo sio Israel tu anaesaidiwa bali yapo mataifa mengi yakiguswa tu wamarekani hao
Mimi Najua kuwa Saudia walitengeneza pipe za mafuta tangu mwaka 1981 wakati nikiwa huko
Ipo pipe inayosafirisha mafuta kutoka Gulf of Oman mpaka Red Sea na hata UAE na Oman wanayo pia
Hilo Saudia waliliona miaka 45 iliyopita na pipe hiyo Ina uwezo wa kupitisha 7 million bpd
Na wengine watakufa kwa kukosa chakula kama walivyowafanyia Gaza
Yanayowakuta ni Yale waliyokuwa wanafurahia
Palestine wamepata faraja sana kwa haya.
Kuna Waziri wa Israel analia kuwa wale wa haki za binadamu wako wapi?
Na yule mwanasiasa aliezika mbwa wake nae dishi liliyumba?
Mimi Najua ni kawaida sana kuzika wanyama ingawa yeye kaongeza mbwembwe na kujengea kabisa
Ila Ulaya kuna makaburi ya mbwa na paka na unalipia hela ndefu kuzika
Wanaweka na mashada ya maua na kuomboleza kabisa
Yaani mbwa umeishi nae...
Hali itazidi kuwa mbaya for the coming days
US anaanza kuachilia vikwazo kwa Mrusi kisa mafuta
Waarabu lazima wamuinamie Muajemi
Vita hii ni ya kiuchumi na sio kidini
Pamoja na kuuwa viongozi 48 wa Iran lakini kosa kubwa kuuwa kiongozi Mkuu
Wachambuzi wa vita wanajua kabisa US...
Kukamatwa kisa ulikuwa unamiliki Radio kwa hela zako nao eti ni uzalendo na kuwatetea wanyonge.
Kama ilikuwepo miaka hiyo basi na wewe ni tatizo kwa kuwasifia hao watu waliodhulumu Mali za watu
Mkoloni aliacha kila kitu kuanzia rasilimali zetu mpaka hela nyingi
Wakakabidhiwa wakaanza ooh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.