Kwani hiyo ardhi kauziwa nani?
Mbona waswahili wanakataliwa? Kama mnavyosema kila leo
Visiwa wameuziwa mafia wa Russia na Italy hao wauza ngada na watakatishaji wa hela wanazoiba kwao na kuja kununua kisiwa chote
Tamaa yao ya mahoteli na majengo yatawatokea puani
Mjerumani nae yupo...
Niwe mkweli tu huyo mzee kajichanganya
Tamaa za hivyo wengi ni vijana ila wazee huwa ni nadra sana
Sasa imagine akihukumiwa miaka 30
Unawaza pia kama utapita au utakamatwa yote yanawezekana
Bora angekuwa dereva wa V8 akabeba wakimbizi angezabwa makofi tu
Na uzee wangu huu siwezi kuwa na tamaa za kijinga hivyo
Naona aliwewesuka alipohojiwa hojiwa
Kutoka Brazil halafu transit Addis then Kampala wanaangalia ulikaa mda gani Brazil
Wayahudi mpaka Saudia wapo na wanajiita wasaudia ila wanajulikana kama asili yao ni wayahudi
Hata Q8 nakumbuka kulikuwa na familia kadhaa za wayahudi walowezi hapo
Kwa kifupi Dunia hii unaweza kuishi popote pale na kuwa mmoja wao
Huyu kavunja rekodi kabisa maana ana damu ya Scottish,Swiss, German, Irish, black, na hata jew
Sijui tumuitaje mimi sielewi ila namuona ni black kwa muonekano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.