Recent content by black short

  1. black short

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari la mkataba

    Pandisha hiyo leseni iwe class c au c1,. Huko kwenu madaladala mengi mno
  2. black short

    Fursa za kazi mkoa wa taboro

    kwa nini tutazame huko kwenye kiblog chako? upload hizo documents hapa zenye matangazo ya kazi huwezi basi hapa si sehemu sahihi sana kwako.
  3. black short

    Umasikini ni tabia; kuwa na vitu vya gharama bila kipato cha kueleweka ni hasara

    Kila mmoja na definition yake ya mafanikio kimaisha tusipangiane. Wewe kama huwezi kununua vitu vya gharama kwako acha na hakuna atakaye kulazimisha na wala kukuhoji.
  4. black short

    Natafuta bodi laToyota Hiace

    Huo ni mfanano tu,, Hilo lenye putty liko wapi?
  5. black short

    Natafuta bodi laToyota Hiace

    Uzi mfupi tu. Natafuta bodi la gari aina ya Toyota haisi superoof (dungu). Likiwa halina gearbox, injini wala diffu itapendeza zaidi. Kikubwa liwe halijakatika chasis/chasesi (vyovyote vile). Likiwa maeneo ya mwanza, shinyanga, kahama, nzega itakuwa vyema zaidi. Mbarikiwe! NB: muonekanokama hii...
  6. black short

    Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

    Yule mwanamke alinifundisha sana nini maana ya kupendaa aisee,, sijawahi tena kujihisi kupenda mwanamke kiasi kile. Ubarikiwe huko uliko na ualimu wako.
  7. black short

    Gari yako ikifikia hatua hii kauze tu kwawanaokata magari

    Nikiileta hii Toyota hiace hapo kwako nadhani hiyo mashine ya diagnosis utapiga shiti. Na chombo iko road daily inakula vichwa alfajiri mpaka usiku.
  8. black short

    Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

    Kwa hiyo na sisi wa Hiace, Coaster, Fusso, Canter tuungane kwenye hiyo list ya kirikuu au tusubiri yetu.
  9. black short

    Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

    sijawahi kulazimisha penzi,,, aisee kama hunitaki kwendraaaa
  10. black short

    Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

    Achana nao hao mademu,, Huwa hawanyumbuliki kabisa aisee ni kama unajigonga mwenyewe tu
  11. black short

    Yaliyonifanya niache kununua 'Dada Poa'

    Wanangu wa moro town mtakuwa mnanielewa,, pale kaumba, itigi, samaki samaki
Back
Top Bottom