Recent content by Black P

  1. Black P

    Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

    Mdau wakili msomi ni neno lenye maana kwa wanasheria,halisemwi tu kwa maana ya kujivunia kada au kama sifa,ukilitumia bila kujua maana yake basi utapata mtazamo wako!! Kwa ufupi neno wakili msomi lilitokana na sheria kuonekana kama kada mtambuko,,endelea kutafuta maana zaidi ya hapo.
  2. Black P

    Ishara: Ukiona shimo wanaishi nyoka na panya jua Kuna uwepo wa madini

    [emoji23][emoji23][emoji23] bado hujaugua na kufa ndo maana. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Black P

    Genius only

    Minus 1 to each,,,that is cop assistance,only 25 minutes to the other side of the river!
  4. Black P

    Jeshi la Polisi anzeni na kituo cha Sheria na Haki za Binadamu

    Duuuh kweli kujarib kumsiaidia mtu asieona tatizo na mienendo yake ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu,,,,,uzi kama huu mtu alikaa akaandika yaan!!!
  5. Black P

    Urusi: Shambulizi lolote la Marekani nchini Syria litajibiwa

    Ooh,,im glad nimejua sasa,,ntafanya jitihada zangu kujua,,naamin kutojua leo sio kutojua siku zote,, im taking this in a vety good way!
  6. Black P

    Urusi: Shambulizi lolote la Marekani nchini Syria litajibiwa

    Well said mkuu,,,,the balance ni kitu muhim sana i wish mataifa mengine makubwa yajitokeze kama ilivo urusi kupinga huu ubabe ili hizi vita zisitokee,, cuz kama mmarekan atampiga urusi ndo yataanza kuibuka mataifa yanayomsport urusi,, yataongezeka na kuongezeka mwisho wa siku kila sehem kumeiva.
  7. Black P

    Urusi: Shambulizi lolote la Marekani nchini Syria litajibiwa

    Mi naamini kuna sababu kubwa sana ya urusi kuingilia kati maamuzi ya marekan katika hizi nchi,, haswaaa sababu za kiuchumi,, na ukumbuke huko kuna nchi kama china wapo kimya lakini hawakaubaliani kanisa na measure za mmarekani,, kuna nchi kama germany zipo soo quite but think of their side when...
  8. Black P

    Kumbe nyani wana utu hivi! tizama Walivyomtoa nduki chui!

    Huyo sio chui mkuu ,ni duma na na mnyama ana asili ya uwoga flan chakula kikuu ni hao swala,,,,chui kingenuka apo mzee!!mbabe hatari
  9. Black P

    BBC: Tanzania imezuia uzinduzi wa ripoti ya Human Rights Watch

    Mkuu,,,mfanyakaz wa ndani ni kama mfanyakazi mwingine,,anaeajiriwa kwa mkataba na kulipwa kulingana na makubaliano yaliyokuepo,,,,ubaloz wa Tanzania Oman ndo Tanzania yenyewe,,na moja ya majukum yake ni kusimamia wananchi wake,,,siez ongelea report hii kukataliwa kusomwa maana sijui sababu haswa...
  10. Black P

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Uhuru unaoutaka wewe nadhani siuhitaji mkuu,,,,,na wala sina ushabiki naongelea kitu nlichokiona nkakisoma na kukielewa,,kila katazo lingekua linatoa uhuru wa mtu nadhan sheria ya mitandao isingekuepo leo ni far restrictive on even private concerns but sioni maisha kutoendelea kwa sabab ya...
  11. Black P

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Kama ulivosema katiba ni sheria mama,,ndo maana kuna sheria ndogo ndogo zinazoongoza na kusimamia sehem husika,,ukumbuke kama kila mtu angeishi kwa uhuru kama katiba inavotaka sidhan kama tungeweza kua majadiliano haya,,,unaposimama kutangaza biashara ndani ya basi unatumia haki yako ya kuongea...
  12. Black P

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Hakuna upuuzi wa kiwango,,,huenda wewe hujakutana nazo ama mimi sjakutana nazo wala siwezi kuongopa eti nikupe ushahid wa hilo,,,ikumbukwe watu waliotoa maoni ya kuekwa katazo hilo ni wadau,,,(wamiliki wa mabasi na abiria) kupita vyama vyao,,,leo upotoshaji huu unaletwa na wamiliki wa mabasi...
  13. Black P

    SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Nnavofaham mimi wanaokatazwa ni wale wanaofanya biashara na wale wanaotangaza dini katika mabasi,,lengo ni kila kitu kifanyike mahala pake,,kanuni zile katika kuzisoma sjaona sehem wamemzuia abiria wa kawaida kuongelea siasa,dini,biashara na abiria mwenzie,,either hata mjadala wa siasa...
  14. Black P

    Jaji Mkuu na Mahakama, Kemeeni Tabia Ya Jeshi la Polisi Kujigeuza Mahakama na Kuhukumu Watuhumiwa kwa Kutumia Media

    Nadhan anaekulisha wewe unatakiwa kumtathmini uwezo wake vilivo,,,sheria haitafsiriwi kwa dictionary tu,,,hiyo ni sheria ya mwongozo wa makosa ya aina ya jinai,,"AINA YA JINAI". Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Black P

    Jaji Mkuu na Mahakama, Kemeeni Tabia Ya Jeshi la Polisi Kujigeuza Mahakama na Kuhukumu Watuhumiwa kwa Kutumia Media

    Mzee sio lazima kuongea,,ka hujui kitu kaa kimya kuliko kujidhalilisha kwa comment kama hii. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom