Wewe jamaa weweMbona gheto ndani kuna nyoka na panya wengi na hamna dini lolote?
Nyoka wanakula panya, sasa watakaaje shimo moja?Hii dunia Ina maajabu Sana viumbe wake Wana uwezo wa Hali ya juu sana ya kutoa ishara.
Kwa mfano mnaenda wachimbaji Kama kumi huko porini mnaanza kuchimba Mara mnakutana na shimo dogo dogo ghafla anatoka panya akikimbia akifuatiwa na nyoka mwenye rangi za kuvutia Kama vile madini ya Rubi.
Nyoka huyo hamdhuru mtu na yeye anakimbia kuelekea kusikojulikana. baada ya muda kidogo Kama nusu saa hivi mmoja wenu wachimbaji ataanza kuugua na atafariki.
Baada ya hapo lile eneo ambalo nyoka na panya walikuwa pamoja mkichimba kidogo TU mtakutana na madini mengi Sana na mtakuwa tayari mmetajirika.
Aka zako nazifuatilia.Leo umeicha kabatini komandoo kinje hadi "air HOSTAGE"? HahahahahaaaSasa huyo atakaekubali kufa ili wenzie wachimbe wapate madini ni nani, hapo mkiona ametoka panya anakimbia akifuatiwa na nyoka basi na nyie waunganishieni mkimbie, unadhani nani anaekubali kutangulia kiwepesi namna hyo
Air HOSTAGE
Atakuja na hoja kwamba ametumia fasihi.Nyoka wanakula panya, sasa watakaaje shimo moja?
Hizo ni story za watu kwa kuwa wanajua hutakutana na nyoka na panya shimo moja!
hahaha hahaMbona gheto ndani kuna nyoka na panya wengi na hamna dini lolote?
Hii dunia Ina maajabu Sana viumbe wake Wana uwezo wa Hali ya juu sana ya kutoa ishara.
Kwa mfano mnaenda wachimbaji Kama kumi huko porini mnaanza kuchimba Mara mnakutana na shimo dogo dogo ghafla anatoka panya akikimbia akifuatiwa na nyoka mwenye rangi za kuvutia Kama vile madini ya Rubi.
Nyoka huyo hamdhuru mtu na yeye anakimbia kuelekea kusikojulikana. baada ya muda kidogo Kama nusu saa hivi mmoja wenu wachimbaji ataanza kuugua na atafariki.
Baada ya hapo lile eneo ambalo nyoka na panya walikuwa pamoja mkichimba kidogo TU mtakutana na madini mengi Sana na mtakuwa tayari mmetajirika.
Mbona gheto ndani kuna nyoka na panya wengi na hamna dini lolote?
Hili fumbo kubwa sanaa ,wachache wanaelewaaHii dunia Ina maajabu Sana viumbe wake Wana uwezo wa Hali ya juu sana ya kutoa ishara.
Kwa mfano mnaenda wachimbaji Kama kumi huko porini mnaanza kuchimba Mara mnakutana na shimo dogo dogo ghafla anatoka panya akikimbia akifuatiwa na nyoka mwenye rangi za kuvutia Kama vile madini ya Rubi.
Nyoka huyo hamdhuru mtu na yeye anakimbia kuelekea kusikojulikana. baada ya muda kidogo Kama nusu saa hivi mmoja wenu wachimbaji ataanza kuugua na atafariki.
Baada ya hapo lile eneo ambalo nyoka na panya walikuwa pamoja mkichimba kidogo TU mtakutana na madini mengi Sana na mtakuwa tayari mmetajirika.
.. hahahahahahahahaSasa huyo atakaekubali kufa ili wenzie wachimbe wapate madini ni nani, hapo mkiona ametoka panya anakimbia akifuatiwa na nyoka basi na nyie waunganishieni mkimbie, unadhani nani anaekubali kutangulia kiwepesi namna hyo
Air HOSTAGE
bado hujaugua na kufa ndo maana.Mbona gheto ndani kuna nyoka na panya wengi na hamna dini lolote?
😂😂Kwa njaa hizi watu hawakawii kuingia machakani kutafuta hayo mashimo mwishowe waishie kuliwa na Fisi...
Ni kweli kabisa,Watu lazima wazame machakani kabisaKwa njaa hizi watu hawakawii kuingia machakani kutafuta hayo mashimo mwishowe waishie kuliwa na Fisi...
Labda kama umeandika kama kichekesho, au ulidhamiria kupost siku ile ya Wajinga.Hii dunia Ina maajabu Sana viumbe wake Wana uwezo wa Hali ya juu sana ya kutoa ishara.
Kwa mfano mnaenda wachimbaji Kama kumi huko porini mnaanza kuchimba Mara mnakutana na shimo dogo dogo ghafla anatoka panya akikimbia akifuatiwa na nyoka mwenye rangi za kuvutia Kama vile madini ya Rubi.
Nyoka huyo hamdhuru mtu na yeye anakimbia kuelekea kusikojulikana. baada ya muda kidogo Kama nusu saa hivi mmoja wenu wachimbaji ataanza kuugua na atafariki.
Baada ya hapo lile eneo ambalo nyoka na panya walikuwa pamoja mkichimba kidogo TU mtakutana na madini mengi Sana na mtakuwa tayari mmetajirika.