Recent content by black mwenga

  1. black mwenga

    Mkwawa hakujipiga risasi kama wajerumani walivyotusimulia, bali aliliwa na simba..

    wopage isa mguu isa mkwe sikudenya. museams zipo kwaajili ya kujifunza historia za makabila mbalimbali. mkuu yeriko nenda kalenga afu uje uedit upotoshaji wako unaotaka kuufanya kwa wana JF.
  2. black mwenga

    Mkwawa hakujipiga risasi kama wajerumani walivyotusimulia, bali aliliwa na simba..

    karibu kalenga Iringa ufungue ubongo juu ya historia ya wahehe mtwa kilonge, mtwa munyigumba, akina mkwavinyika (mkwawa) na wengineo. na biashara zao kuu zilikuwa zipi. utakutana na myalukolo halisi gerald. Achana na vitabu na simulizi za ambao hawajawahi fika hata kalenga yenyewe!
  3. black mwenga

    Ufugaji wa Kuku wa kisasa (Layers)

    mkuu muhinda. vipi mbona haukumalizia updates hadi wiki ya 96 kama ulivyoahidi. ingependeza sana kama ungemalizia.
  4. black mwenga

    Kwanini maiti nyingi za watu maarufu zinahifadhiwa Lugalo?

    tunaomba tujibiwe na hili. la maiti kufunguliwa na kuwekwa tena kwenye jokofu
  5. black mwenga

    Kwanini maiti nyingi za watu maarufu zinahifadhiwa Lugalo?

    kuna watu watakuwa wanataman hata wakifia vijijini kwao mikoani, maiti zao ziende lugalo na warudishwe tena vijijini kwao. Apart from uchunguzi n security C.V watu wanapenda sana.
  6. black mwenga

    Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

    Write your reply...sawa
Back
Top Bottom