Msisahau watoto wa Watunga Ilani na wasimamizi wa ilani ya CCM hawataki kusoma elimu Bure bali wao wanasoma shule za mamilioni na wengine wanaenda nje ya Bara la Afrika kabisa. Elimu hiyo ya bure ni kwa ajili ya kuendelea kuzalisha wapiga kura tu.
Usifikiri hivyo, Mh Mpango ni muda sahihi wa kupumzika hivyo hakuna tatizo, PM kupumzika ni sahihi kwa muda alitumikia cheo hicho, atabaki kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini Tanzania hapo baadaye, Balozi ndiye wa kujadili maana barua yake km ameandika mwenyewe basi inatafakarisha...
Huwa mnatulingishia sisi ambao huwa hatuna pesa ya kula njiani nyie mnateremka mnakuja na mibahasha ya kaki mnavyakula vinanukia hadi raha kumbe mnakula vinyawawa 😂😂😂😂
Watumishi wa kima cha chini ni wachache mnoo kwa sasa, hii ni danganya toto tu. Nawahakikishia watumishi hakuna mtu atakuta nyongeza inayofika elfu 10,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.