TISS ya taifa letu ni ya ajabu sana, badala wafanya ujasusi wa kiuchumi, washughulike na ujasusi wa kibiashara, teknolojia, ufugaji nk wao kazi yao ni kufuatilia nani akaisema vibaya CCM!!!!!!!
Yaani umeongea vizuri sana. Mh Polepole enzi za Magufuli kipindi akina Tundulisu wanatunguliwa kwa risasi yeye alikuwa anawakebei Watanzania na kuwauliza kama wanayajua Magari ya V8... Zamu yake ilipowadia Kikamlamba vizuri....
Pascal Mayalla, wewe ni miongoni mwa watu ambao taifa hili mmelifikisha hapa, Watanzania nyoyo zao zinavuja damu na jasho lenye uchungu kwa sababu ya tamaa zenu. Mwambie aliyekutuma kuwa Watanzania wamechoka.
Ki msingi inaumiza sana kuona mtu anakwama kwenye mambo ya msingi km haya kwa uzembe tu wa supervisor. Kila wiki napandisha kazi kwenye mfumo na nikishapandisha namfuata Supervisor apitishe kazi zangu, hajafanya hivyo huwa siwezi kuendelea na chochote hadi kazi yangu ipitishwe. Majira ya fainal...
Mkuki kwa Nguruwe.... Wao wamekatisha ndoto za vijana wangapi kwa kushindwa kurekebisha makosa madogo madogo tu... Kiwalambe tu, unakuta mtu anazungushwa zaidi ya miezi/ miaka tu kwa ajili ya kukamilisha tafiti tena za kawaida tu
Unaweza kuisubiri haki hapa Tanzania na usipate wakati wewe unatimiza wajibu wako, la kushangaza wale wazembe na wasio timiza wajibu wao wakawa wanapeta tu na wanakucheka wewe unayetimiza wajibu. Kwa kuwa serikali imeyataka yenyewe hangaika sana kuhakikisha alama zako zinakidhi vigezo ili upate...
Mnaoshadidia maandamano acheni kuwadanganya wenzenu, mnaandama nyuma ya Keyboard tu kutoka nje hamuwezi. Mnachochea wajinga ili watoke nje wafumuliwe mafuvu alafu watoto wao wabaki yatima. Endeleeni na kazi zenu maandamano ni ya Wakenya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.