Recent content by Black Mirror

  1. Black Mirror

    CCM itatoa elimu bure kutoka shule ya awali hadi chuo kikuu ifikapo 2050, hii itawafanya watoto wengi wa masikini kusoma mpaka mwisho wa akili zao

    Msisahau watoto wa Watunga Ilani na wasimamizi wa ilani ya CCM hawataki kusoma elimu Bure bali wao wanasoma shule za mamilioni na wengine wanaenda nje ya Bara la Afrika kabisa. Elimu hiyo ya bure ni kwa ajili ya kuendelea kuzalisha wapiga kura tu.
  2. Black Mirror

    Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

    Utabiri wako unaweza kutumia ni muda kidogo tu imesalia
  3. Black Mirror

    Makamu kajitoa,waziri mkuu kajitoa na sasa Balozi kajitoa. Nyie mnaona Nini mbele?

    Usifikiri hivyo, Mh Mpango ni muda sahihi wa kupumzika hivyo hakuna tatizo, PM kupumzika ni sahihi kwa muda alitumikia cheo hicho, atabaki kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini Tanzania hapo baadaye, Balozi ndiye wa kujadili maana barua yake km ameandika mwenyewe basi inatafakarisha...
  4. Black Mirror

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Kwa jinsi ninavyo ifahamu CCM km ni Polepole ameandika barua hii kweli basi wataanza kumuinulia visa na mikasa hadi shetani atashangaa
  5. Black Mirror

    Answar sunna pokeeni maua yenu

    Ki msingi ukikuta Muislamu aliyeshika dini vizuri ni muaminifu sana kuliko Mkristo aliyeshika dini. Mimi ni Mkristo pia.
  6. Black Mirror

    Tetesi: GE2025 Waliopenya kamati za CCM wilaya na walioliwa vichwa

    Yes Mpina ageukie kwenye chama pinzani naamini raia watampa kura
  7. Black Mirror

    Tetesi: GE2025 Waliopenya kamati za CCM wilaya na walioliwa vichwa

    Huyu ni Waziri wa mambo ya Ndani ajaye
  8. Black Mirror

    Ili uwe Waziri Mkuu inabidi ugombee jimbo, msibeze kwanini kaachia U-RC

    Makonda anaenda kupewa uwaziri wa Mambo ya Ndani kwanza, mengine yatakuja baadae
  9. Black Mirror

    Polisi mpakani Tunduma watia aibu kwa kuwakamata mawakala wa Zambia waliokuwa hawajavaa sare

    Semina kwa sasa inahitajika kwa Polisi wote, polisi hapa kwetu TZ hawajui wajibu wao
  10. Black Mirror

    Imarisha ulinzi wa mali zako nyumbani na ofisini kwa kufunga CCTV CAMERA leo.

    Kiongozi hiyo uliyosema ni million 30 ndiyo nahitaji, njoo tuyajenge
  11. Black Mirror

    Nimegeuzwa fursa? - nimeuziwa ndege John badala ya kuku?

    Huwa mnatulingishia sisi ambao huwa hatuna pesa ya kula njiani nyie mnateremka mnakuja na mibahasha ya kaki mnavyakula vinanukia hadi raha kumbe mnakula vinyawawa 😂😂😂😂
  12. Black Mirror

    Wakenya wahoji Rais Samia ameweza kupandisha Mshahara kwa 35% lakini wao waliomba Nyongeza ya 6% tu Ruto ameshindwa

    Watumishi wa kima cha chini ni wachache mnoo kwa sasa, hii ni danganya toto tu. Nawahakikishia watumishi hakuna mtu atakuta nyongeza inayofika elfu 10,000/=
Back
Top Bottom