Recent content by Black Mirror

  1. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mhadhiri wa UDOM akamatwa na Polisi baada ya kurekodiwa akijadili maandamano ya Disemba 9 darasani

    TISS ya taifa letu ni ya ajabu sana, badala wafanya ujasusi wa kiuchumi, washughulike na ujasusi wa kibiashara, teknolojia, ufugaji nk wao kazi yao ni kufuatilia nani akaisema vibaya CCM!!!!!!!
  2. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Maagizo kutoka juu, yamfanya Mhadhiri UDOM kusota mahabusu

    Yaani umeongea vizuri sana. Mh Polepole enzi za Magufuli kipindi akina Tundulisu wanatunguliwa kwa risasi yeye alikuwa anawakebei Watanzania na kuwauliza kama wanayajua Magari ya V8... Zamu yake ilipowadia Kikamlamba vizuri....
  3. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Kwa Kauli Kama Hizi, Kiukweli Kabisa,Huyu Mtu, Atamsaidia sana Rais Samia,Taifa na Watanzania. Mnaonaje kama 2030 Twende Naye Kwa Utaratibu Ule Ule ?

    Pascal Mayalla, wewe ni miongoni mwa watu ambao taifa hili mmelifikisha hapa, Watanzania nyoyo zao zinavuja damu na jasho lenye uchungu kwa sababu ya tamaa zenu. Mwambie aliyekutuma kuwa Watanzania wamechoka.
  4. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania HOJA Nini kinazuia huduma za Vyama vya Wafanyakazi kuunganishwa kwenye mfumo wa ESS?

    Hawawezi kuruhusu kitu kama hicho, kama wangeruhusu CWT haiwezi kubaki na mwanachama hata mmoja. CWT NA serikali ni Damudamu
  5. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Mtu kipenyo, anaona ufahari kuua watu! Watanganyika wenzake

    Mkimjua kuwa kazi yake ni kuua watu sasa mnamuacha wa kazi gani?
  6. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa PEPMIS umechangia Watumishi 370 wa Halmashauri ya Jiji la Dar tusipandishwe daraja

    Ki msingi inaumiza sana kuona mtu anakwama kwenye mambo ya msingi km haya kwa uzembe tu wa supervisor. Kila wiki napandisha kazi kwenye mfumo na nikishapandisha namfuata Supervisor apitishe kazi zangu, hajafanya hivyo huwa siwezi kuendelea na chochote hadi kazi yangu ipitishwe. Majira ya fainal...
  7. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wahadhiri nao walalamikia Mfumo wa PEPMIS, washindwa kupandishwa daraja licha ya kukidhi vigezo vyote

    Mkuki kwa Nguruwe.... Wao wamekatisha ndoto za vijana wangapi kwa kushindwa kurekebisha makosa madogo madogo tu... Kiwalambe tu, unakuta mtu anazungushwa zaidi ya miezi/ miaka tu kwa ajili ya kukamilisha tafiti tena za kawaida tu
  8. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Kupandishwa daraja siyo tu haki, bali pia ni motisha muhimu inayoongeza morali na ufanisi kazini, mfumo wa PEPMIS uangaliwe

    Unaweza kuisubiri haki hapa Tanzania na usipate wakati wewe unatimiza wajibu wako, la kushangaza wale wazembe na wasio timiza wajibu wao wakawa wanapeta tu na wanakucheka wewe unayetimiza wajibu. Kwa kuwa serikali imeyataka yenyewe hangaika sana kuhakikisha alama zako zinakidhi vigezo ili upate...
  9. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Maisha mazuri hayaji Kwa bahati ni mipango na nidhamu

    Kama vile una hoja usikilizwe kwa umakini
  10. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mganga mzuri wa ‘kunitengenezea’ biashara yangu

    Ufafanuzi kidogo boss
  11. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Namtafuta mganga mzuri wa ‘kunitengenezea’ biashara yangu

    Mwaga KONEKSHEN hapahapa boss
  12. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Ewe uliyoko Tanzania, Usije Ukaratibu, Ukatoka, Ukaandamana tarehe 7-7-2026

    Mnaoshadidia maandamano acheni kuwadanganya wenzenu, mnaandama nyuma ya Keyboard tu kutoka nje hamuwezi. Mnachochea wajinga ili watoke nje wafumuliwe mafuvu alafu watoto wao wabaki yatima. Endeleeni na kazi zenu maandamano ni ya Wakenya
  13. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania Nataka kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji, wenye uzoefu naomba ushauri kwenu

    Naomba elimu kidogo juu ya kuwapa vitunguu maji
  14. Black Mirror

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kitongoji ambacho kiko umbali wa Km 3 kutoka yalipo makao makuu ya Wilaya kinaomba umeme zaidi ya miaka 6 Tanesco mko kimya. Hii ni aibu ya kutisha.
Back
Top Bottom