Umeendika ukweli mtupu! Lakini Kutokana na manyanyaso ambayo vyombo vya ulinzi na usalama vimekuwa vikiyafanya kwa Watanzania kwa muda mrefu Watanzania sasa wanamakovu na majeraha makubwa sana, hivyo hata polisi akiwa kwenye haki bado Watanzania wataona askari huyo ni mkorofi tu. Kwa bahati...
Kupotea kwa POLEPOLE kunaniumiza kwani yeye ni binadamu kama mimi anayo haki ya kuishi kwa uhuru kama wengine, lakini kwa upande mwingine wa shilingi naamini linapaswa kuwa somo... Kipindi cha Magufuli POLEPOLE alikuwa kama Maliyamungu wa Uganda kipindi cha Idd Amin, yaani nikikumbuka nasema...
Acha uongo
JPM ndiye mwenyewe alipenda sana mambo haya.... Kuna siku alikuwa Anazindua miradi akajisemea eti.... Hivi siku sipo hii miradi nani ataiendeleza?.... Magufuli ndiye rais wa kwanza kutengeneza hali ya kuabudiwa, Magufuli ndiye muasisi wa kuhitaji kuongezewa muda! Magufuli ndiye...
Acha uongo
JPM ndiye mwenyewe alipenda sana mambo haya.... Kuna siku alikuwa Anazindua miradi akajisemea eti.... Hivi siku sipo hii miradi nani ataiendeleza?.... Magufuli ndiye rais wa kwanza kutengeneza hali ya kuabudiwa, Magufuli ndiye muasisi wa kuhitaji kuongezewa muda! Magufuli ndiye...
Magufuli aliwahi kutengeneza wajinga fulani akina Juma Nkamia wakaanza kujipendekeza kupeleka hoja hizo bungeni.... Na kwa taarifa bunge lilikuwa linaenda kubariki upuuzi huo.... Lakini kumbe Mungu akaingilia kati..... sasa kuna wajinga wameshaanza kufanya mambo haya kwa Mama Samia... Huyu mama...
Mkuu kuna jambo hujaliweka sawa, kama huyo jamaa mambo haya anayafanya kweli na anaumiza watu, Usitegemee waliomtaja hadharani kama watadhurika kwa lolote kamwe hakuna kitu kama hicho, lakini kama wanamsingizia basi yatawarudia
TISS ya taifa letu ni ya ajabu sana, badala wafanya ujasusi wa kiuchumi, washughulike na ujasusi wa kibiashara, teknolojia, ufugaji nk wao kazi yao ni kufuatilia nani akaisema vibaya CCM!!!!!!!
Yaani umeongea vizuri sana. Mh Polepole enzi za Magufuli kipindi akina Tundulisu wanatunguliwa kwa risasi yeye alikuwa anawakebei Watanzania na kuwauliza kama wanayajua Magari ya V8... Zamu yake ilipowadia Kikamlamba vizuri....
Pascal Mayalla, wewe ni miongoni mwa watu ambao taifa hili mmelifikisha hapa, Watanzania nyoyo zao zinavuja damu na jasho lenye uchungu kwa sababu ya tamaa zenu. Mwambie aliyekutuma kuwa Watanzania wamechoka.
Ki msingi inaumiza sana kuona mtu anakwama kwenye mambo ya msingi km haya kwa uzembe tu wa supervisor. Kila wiki napandisha kazi kwenye mfumo na nikishapandisha namfuata Supervisor apitishe kazi zangu, hajafanya hivyo huwa siwezi kuendelea na chochote hadi kazi yangu ipitishwe. Majira ya fainal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.