hata mimi nashangaaa labda wanasubiri watu wao wakaone mazingira wasipo yapenda ndo tupangiwe watoto wa wakulima, ambao pa1 na kutucheleweshea kutangaza ajira. wameweka pending majina yetu.
Habari ndugu zangu.
Ninaomba kujuzwa. Nina ujauzito wa mwezi mmoja kuna wakati kitovu kinauma na jana wakati naoga ktk harakati zavkujiswafi nimeona dalili za damu kidogo na sometimes nafeel km nataka kuingia Mp. Je, hii ni sawa?
Thanx in advance.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.