Recent content by Black Lady

  1. B

    TAMISEMI, tuambieni kinachoendelea kwa sisi tuliokosa ajira za ualimu.

    hata mimi nashangaaa labda wanasubiri watu wao wakaone mazingira wasipo yapenda ndo tupangiwe watoto wa wakulima, ambao pa1 na kutucheleweshea kutangaza ajira. wameweka pending majina yetu.
  2. B

    Kuharibika kwa Mimba: Fahamu Sababu, Kinga na Tiba za tatizo hili

    mama mjamzito anapotumia zambarau matunda kwa wingi kunafaida yoyote
  3. B

    Yupo wapi Mtangazaji huyu?

    alikua tbc 1 na wapo redio HOE
  4. B

    Yupo wapi Mtangazaji huyu?

    kweli mkuu waliweza kuchambua michezo kwa kina.
  5. B

    Yupo wapi Mtangazaji huyu?

    Nauliza tu. Joseph Msami, yupo wapi huyu mtangazaji siku hizi.
  6. B

    Hivi sauti ya mwanaume nayo ni kigezo cha kupendwa na mwanamke?

    hafu aongeee kwa mpangilio mweeee achact
  7. B

    Hivi sauti ya mwanaume nayo ni kigezo cha kupendwa na mwanamke?

    Jamani mwanaume akiwa na saut zito ananoga. ushaisikia ya Hasheem Thabit mwee
  8. B

    Unamkumbuka Amrish puri?

    mkuu ukipata jina ni pm naitamani sana kuichek
  9. B

    Mnazionaje huduma za Azam tv?

    uwiii ngoja nitupilie mbali hii startimes. kwa moro napata wapi kingamuzi cha azam tv wakuu
  10. B

    naombeni ushauri

    mlikua na urafiki gn fafanua kdg tukushauri
  11. B

    Zifahamu dalili zinazoashiria mwanamke ni mjamzito

    Asanteni kwa ushauri wapendwa. Mbarikiwe sn
  12. B

    Zifahamu dalili zinazoashiria mwanamke ni mjamzito

    Habari ndugu zangu. Ninaomba kujuzwa. Nina ujauzito wa mwezi mmoja kuna wakati kitovu kinauma na jana wakati naoga ktk harakati zavkujiswafi nimeona dalili za damu kidogo na sometimes nafeel km nataka kuingia Mp. Je, hii ni sawa? Thanx in advance.
Back
Top Bottom