Recent content by black hummer

  1. black hummer

    VIDEO: Askari wa Usalama Barabarani akichukua Rushwa - Juni 01, 2016

    karekodi basi wewe hizo video za stanbank utuleteee aseee huyo kajikuna anapoweza, katuletea hiyo.
  2. black hummer

    polisi kuchua rushwa jun,1,2016 na uelewa wa wachangia mada

    ebu fuata link hiyo hapo chini kujua watanzania wanaelewa vipi kuhusu swala la kutoa na kupokea rushwa. kuna watu wanauliza maswali ya ajabu mmnooo... VIDEO: Askari wa Usalama Barabarani akichukua Rushwa - Juni 01, 2016
  3. black hummer

    VIDEO: Askari wa Usalama Barabarani akichukua Rushwa - Juni 01, 2016

    NAONA KAMA VILE ALIKUJA KUKUKATA ULINISULIKA KWELI ??? HAHAHAHAHA
  4. black hummer

    Museveni: No country is more democratic than Uganda!

    wana demokrasiaambayo inadefinition ya kwao wenyewe, na wanaendesha nchi kwa kutumia hiyohiyo maaana hakuna democrasia ya kweli kila mtu ana maana ya yakwake. so ya kwao ndio ya ukweli zaidi.
  5. black hummer

    Taratibu za kwenda Muhimbili kutibiwa

    sasa nimeomba msaada kwa kuuliza swali ili kujua taratibu asee,,,,,,,,, we elekeza tuu nitashukuruu
  6. black hummer

    Taratibu za kwenda Muhimbili kutibiwa

    Ningependa kujua ni utaratibu upi unatumika kutibiwa Muhimbili hospital?? Je ni mpaka hospitali nyingine zishindwe ndio uende pale au unaweza kwenda mwenyewe moja kwa moja kwa ajili ya matibabu?
  7. black hummer

    Magufuli: Ni Tanzania pekee mwanafunzi anapata division 4 kidato cha nne na anaenda chuo kikuu

    hao wanafunzi ni kweli walikuwa hawana qualification hahahaha sasa unafukuzwa gafla na ulikuwa unapata mkopo, then eti umekosa nauli ya kurudi kwenu, mwanafunzi hujui hata kuweka akiba??? mambo mengine bwana me naona warudi kwao tuu watulie kwanza wache fujo.
  8. black hummer

    Baada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge, Zitto acharuka

    unataka kusema magufuri anasababisha uvunjifu wa amani au??
  9. black hummer

    Baada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge, Zitto acharuka

    kwanza kabisa democrasia misingi yake hata hao walio anzisha wanaikosea sembuse sie tulio ikopy??? if its is african democracy then this is tanzania democracy under magufuri regime, we are wired differently let magufuri lead the nation bwanaa
  10. black hummer

    Ulishawahi kujutia mchepuko?

    asee utaratibu wa sasa usiwe na mchepuko ambaye ni shida angalia sehemu ambayo hata wewe mwenyewe ukitoa service poa unashaangaa unapewa wewe pesa instead ya wewe kutoa. ukiona unaombwa sana wewe stuka toka nduki, ukiona ume gandia hapo na sindano zimekuwa nyingi brother hilo ni jujuuuu
Back
Top Bottom