black hummer
Member
- May 31, 2016
- 12
- 3
Ningependa kujua ni utaratibu upi unatumika kutibiwa Muhimbili hospital??
Je ni mpaka hospitali nyingine zishindwe ndio uende pale au unaweza kwenda mwenyewe moja kwa moja kwa ajili ya matibabu?
Je ni mpaka hospitali nyingine zishindwe ndio uende pale au unaweza kwenda mwenyewe moja kwa moja kwa ajili ya matibabu?