Recent content by Black hermit

  1. Black hermit

    Hii imekaaaje wakuu? Nawahi sana kufika kileleni

    Tuma picha ya huyo bonge kwanza tumuone ili tuweze kukupa ushauri
  2. Black hermit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi voda wana akili kweli yaani nimesuka mkeka wangu nataka niweke pesa huduma hazipo
  3. Black hermit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lazio kanilaza na viatu leo
  4. Black hermit

    Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

    Ukiwa huna pesa, ukiona mtu anatumia pesa zake unaona kama anachezea.
  5. Black hermit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wengine tumemramba ndo mana hatuogopi
  6. Black hermit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betpawa timu 40 Option over/under/double chance Odds 18.73 Starting time saa 12:00 jioni 0017B0F
  7. Black hermit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Maafisa niangalizieni hapa nataka niweke nyumba ya urithi
  8. Black hermit

    FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

    Simba acheni ujinga mnajua tumeweka hela nyingi kwenye kubet
  9. Black hermit

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betpawa imechanganyikiwa inaleta vitu vya ajabu yaani kama mgonjwa aanze kutaja majina ya watu waliokufa zamani
Back
Top Bottom