Kama anaikumbuka katiba na aliapa kuiteteana kuilinda mbona anafanya mengine ambayo anaikiuka hiyo katiba [ mfn KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA KWA WAPINZANI ]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanzio walishastuka mapema na ndio maana unaona kwa vipindi vifupi wana majumba na magari ya kifahari,mzee unakumbuka kuchota maji wakati kisima kimekauka,CCM = chukua chako mapema [emoji383][emoji383][emoji125][emoji125]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.