Yaani ningewaambia sina iyo waliopanga ila nitafuta ntayokayo pata na nitawasilisha!!
Me hata WhatsApp group ukiniunga sijui mchango na hujaniambia kabla na left live kabisaaa
Kwa jamii zetu ukishakuwa na ka ajira wanaweza wakakufilisi kwa michango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.