Usipromoti mambo haya mkuu katika jukwaa hili maana utawaponza wanawake ambao wako kwa ndoa zao kujiona wanatuweza alafu wakaumia na ndoa kuvunjika kabisa
Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria....
Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji na utendaji juu ya kauli hiyo.
Sasa bhasi kwa pamoja tumuombe Rais Samia aseme neno Juu ya...
Mwanzoni kabisa mw amiaka ya 90's kulikua na jambazi sugu Temeke mitaa Keko alijulikana kwa jina la Kubwa. Huyu Bwana anapiga ngumi nyingi kwa wakati mmoja na ngumi ikikupata utasema umepigwa chuma chakavu. Moja kati ya tukio lake kubwa huyu bwana ni pale alipokua anachungulia moja ya nyumba ya...
Pengo kwa nafasi yake alikua kitaifa zaidi yaani kiimani na kiserikali pia. kiimani amefanya mazuri sana kwa kuunganisha wakristo wote hata kabla ya 1992 alipoteuliwa na Papa kua Kadinali. Kiserikali pia alifanya vizuri sana japo kweli katika mchakato wa kupata katiba mpya alienda akinyume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.