Recent content by Black BackUp

  1. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Bibilia Takatifu inasema " Mjikusanyapo zaidi ya watu wawili bhasi na Mungu anakua kati yenu au anajiungamanisha na nyie". Sasa Baraza la maaskofu walijikusanya wakaa wakaandika waraka wakauita "Tafakari ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Juu ya Yaliyotokea Siku na Baada ya...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    They call it a system in a system.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    hizo si fununu za kufutwa uanachama kama watu wanadhani, bali tunawekwa tayari kwa ajili ya mapokeo ya yanayokuja kujili.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Barozi mngoni anakua namba moja soon. Note these words
  5. B

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa Ufahamu: Namna ya Kuwabaini Matapeli wanaotumia mbinu ya kupiga Picha na Viongozi

    Ile kazi ya Jeshi ishapatikana. Tuma laki tano tu ili niwape makamanda wakupangie kituo cha kazi. Yaani wewe huwendi kusota kabisa ni moja kwa moja unaanza kazi bila mafunzo yoyoye maana vyeti vyako ni vizuri sana, Kombati utazifata kwangu pamoja buti na mkanda. nimeongea na huyu kamanda hapa...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, badili uzungumzaji wako, huu wa sasa hauendani na hadhi ya kiti unachokalia

    Watu eheee eheeee. “Tunataka katiba mpyaa, katiba mpyaa. Ukiwauliza unataka sehem gan ya katiba ibadilishwe hajui… ohoo si tunataka katiba mpyaa. Ukimuuliza kwanini katiba mpyaa ohooo ile ya zamani haifai”
  7. B

    JamiiForums Tanzania "Uzalendo" Ufundishwe Shuleni kama Somo

    Wahaini Mlio Mtaani mnatosha, tudeal na kizazi hiki cha mshuleni kwasasa ili kujenga
  8. B

    JamiiForums Tanzania "Uzalendo" Ufundishwe Shuleni kama Somo

    Habari, Uzalendo ni nini? Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda ,kuithamini, kujitolea kwa hali na mali na hata kufa kwa aajili ya nchi yake. Ukirudi mashule kuna masomo kama uraia na mengineyo lakin ukiangalia mitaala sana inasimulia zaid historia ya nchi na matukio yaliojitokeza sambamba na tawala...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Siku za Mwisho Kabla ya Tanzania kurudi kuwa Tanganyika

    Mungu ibariki Tanzania, Kutokana na kile kinachoendelea katika mijadala mbalimbali hata Bungeni kwakweli kinazidi kuleta mpasuko juu ya Muungano huu wa Tanganyika na zanzibar. Alisimama Mbunge Shadya wa zanzibar na kusema "kuna mijadala inayoendelea hata katika magroup yao" namna watu...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

    hummingbird ni Hatari sana
  11. B

    JamiiForums Tanzania Swali: Je, shushushu (mwanausalama) akihitilafiana na raia wa kawaida hawezi tumia mbinu za kazi yake kumshughulikia?

    wana usalama kudeal na raia katika jambo la personal hua sio lazima kujitambulisha. akikuonyesha tu advatise moja, mwenyewe unatoka kwenye reli. Mwenyewe wanajua namna ya deal na mtu mmoja moja
  12. B

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Sina uwakika na ukisemacho, Mbona ukiwekeza iwamba ni saafi sana nna jamaa yangu ana hotel na ina miaka sasa na anafurahia mapato ya kutosha tu japo wakati flan kun kampuni ilitaka imepe karibu milion 100 kuchukua eneo lake. Wewe uko sehem gani?
  13. B

    JamiiForums Tanzania Nasikitika Sana Kuona Shilingi yetu Ya Tanzania Inavyoporomoka

    kuhemea ni kufanya manunuzi ya bidhaa ndogondogo
Back
Top Bottom