Bibilia Takatifu inasema " Mjikusanyapo zaidi ya watu wawili bhasi na Mungu anakua kati yenu au anajiungamanisha na nyie". Sasa Baraza la maaskofu walijikusanya wakaa wakaandika waraka wakauita "Tafakari ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Juu ya Yaliyotokea Siku na Baada ya...
Ile kazi ya Jeshi ishapatikana.
Tuma laki tano tu ili niwape makamanda wakupangie kituo cha kazi. Yaani wewe huwendi kusota kabisa ni moja kwa moja unaanza kazi bila mafunzo yoyoye maana vyeti vyako ni vizuri sana, Kombati utazifata kwangu pamoja buti na mkanda. nimeongea na huyu kamanda hapa...
Watu eheee eheeee. “Tunataka katiba mpyaa, katiba mpyaa. Ukiwauliza unataka sehem gan ya katiba ibadilishwe hajui… ohoo si tunataka katiba mpyaa. Ukimuuliza kwanini katiba mpyaa ohooo ile ya zamani haifai”
Habari,
Uzalendo ni nini?
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda ,kuithamini, kujitolea kwa hali na mali na hata kufa kwa aajili ya nchi yake.
Ukirudi mashule kuna masomo kama uraia na mengineyo lakin ukiangalia mitaala sana inasimulia zaid historia ya nchi na matukio yaliojitokeza sambamba na tawala...
Mungu ibariki Tanzania,
Kutokana na kile kinachoendelea katika mijadala mbalimbali hata Bungeni kwakweli kinazidi kuleta mpasuko juu ya Muungano huu wa Tanganyika na zanzibar. Alisimama Mbunge Shadya wa zanzibar na kusema "kuna mijadala inayoendelea hata katika magroup yao" namna watu...
wana usalama kudeal na raia katika jambo la personal hua sio lazima kujitambulisha. akikuonyesha tu advatise moja, mwenyewe unatoka kwenye reli. Mwenyewe wanajua namna ya deal na mtu mmoja moja
Sina uwakika na ukisemacho, Mbona ukiwekeza iwamba ni saafi sana nna jamaa yangu ana hotel na ina miaka sasa na anafurahia mapato ya kutosha tu japo wakati flan kun kampuni ilitaka imepe karibu milion 100 kuchukua eneo lake. Wewe uko sehem gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.