Recent content by Black BackUp

  1. B

    JamiiForums Tanzania Tuwape maneno ya faraja na kuwatia moyo wanaume wenzetu wanaopigwa na wake zao huku wakiuchuna kana kwamba hawapigwi

    Usipromoti mambo haya mkuu katika jukwaa hili maana utawaponza wanawake ambao wako kwa ndoa zao kujiona wanatuweza alafu wakaumia na ndoa kuvunjika kabisa
  2. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia sema neno juu ya upandaji wa bei ya mafuta

    Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria.... Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji na utendaji juu ya kauli hiyo. Sasa bhasi kwa pamoja tumuombe Rais Samia aseme neno Juu ya...
  3. B

    JamiiForums Tanzania CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    kwani uwanja wa Benjamini Mkapa ulitumia tsh ngapi?
  4. B

    JamiiForums Tanzania Jombi, Jambazi aliyetisha wa Kimataifa aliyeishi Tanzania

    Mwanzoni kabisa mw amiaka ya 90's kulikua na jambazi sugu Temeke mitaa Keko alijulikana kwa jina la Kubwa. Huyu Bwana anapiga ngumi nyingi kwa wakati mmoja na ngumi ikikupata utasema umepigwa chuma chakavu. Moja kati ya tukio lake kubwa huyu bwana ni pale alipokua anachungulia moja ya nyumba ya...
  5. B

    JamiiForums Tanzania KERO Kuzorota kwa huduma za Tiba na Matunzo kwa WAVIU mkoa kwa Kagera kuanzia January 2026

    Pole sana hebu jaribu namba hii 0769-333333 kwa Mwigulu ikipokelewa sema hilo tatizo maana hili jambo ni la jamii nzima.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Polycarp Pengo hakijanigusa. Alitakiwa afe miaka ya 90 huko. Sababu alizuia Katiba mpya

    Pengo kwa nafasi yake alikua kitaifa zaidi yaani kiimani na kiserikali pia. kiimani amefanya mazuri sana kwa kuunganisha wakristo wote hata kabla ya 1992 alipoteuliwa na Papa kua Kadinali. Kiserikali pia alifanya vizuri sana japo kweli katika mchakato wa kupata katiba mpya alienda akinyume na...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mch. Peter Msigwa: Wenza wa Darasani na Ujanja wa Maisha

    point ya msing sana.... Mtaji ni watu. unaweza ukawa una mali na pesa nyingi lakin kama huna watu utabaki na viulizo tu
  8. B

    JamiiForums Tanzania Stori ya El Chapo imenikumbusha kaka yangu alivyopoteza kila kitu kutokana na mwanamke

    mwaida jambazi kabla ya kuja kwenu Shinyanga alipiga matukio sana Arusha miaka ile
  9. B

    JamiiForums Tanzania Dhana kwamba jasusi lazima awe “mtu safi” ndiyo inaua ujasusi wa Afrika

    Lugha hujui wew sio jasusi
  10. B

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    amebadili ID
Back
Top Bottom