Recent content by Black BackUp

  1. B

    Jombi, Jambazi aliyetisha wa Kimataifa aliyeishi Tanzania

    Mwanzoni kabisa mw amiaka ya 90's kulikua na jambazi sugu Temeke mitaa Keko alijulikana kwa jina la Kubwa. Huyu Bwana anapiga ngumi nyingi kwa wakati mmoja na ngumi ikikupata utasema umepigwa chuma chakavu. Moja kati ya tukio lake kubwa huyu bwana ni pale alipokua anachungulia moja ya nyumba ya...
  2. B

    KERO Kuzorota kwa huduma za Tiba na Matunzo kwa WAVIU mkoa kwa Kagera kuanzia January 2026

    Pole sana hebu jaribu namba hii 0769-333333 kwa Mwigulu ikipokelewa sema hilo tatizo maana hili jambo ni la jamii nzima.
  3. B

    Kifo cha Polycarp Pengo hakijanigusa. Alitakiwa afe miaka ya 90 huko. Sababu alizuia Katiba mpya

    Pengo kwa nafasi yake alikua kitaifa zaidi yaani kiimani na kiserikali pia. kiimani amefanya mazuri sana kwa kuunganisha wakristo wote hata kabla ya 1992 alipoteuliwa na Papa kua Kadinali. Kiserikali pia alifanya vizuri sana japo kweli katika mchakato wa kupata katiba mpya alienda akinyume na...
  4. B

    Mch. Peter Msigwa: Wenza wa Darasani na Ujanja wa Maisha

    point ya msing sana.... Mtaji ni watu. unaweza ukawa una mali na pesa nyingi lakin kama huna watu utabaki na viulizo tu
  5. B

    Stori ya El Chapo imenikumbusha kaka yangu alivyopoteza kila kitu kutokana na mwanamke

    mwaida jambazi kabla ya kuja kwenu Shinyanga alipiga matukio sana Arusha miaka ile
  6. B

    Dark days 17/03/20

    amebadili ID
  7. B

    TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

    kipindi cha hivi karibuni tumeona ma DGIS wakipangwa na kupanguliwa hii inaashiria kuna jambo haliko sawa ndani kabisa ya system. Sasa pengine ni katika kujenga kwa maana ya kwamba DGIS anatamani kuondosha kabisa matendo haya ya kidhalimu yanayoendelea nchini lakin anashindwa kutokana na...
  8. B

    Panga pangua ya baraza la mawaziri ni ushahidi kuwa serikalini mambo si sawa

    Hii panga pangua mwaka huu itatokea sana kila baada ya mwezi 1 au 2 mwendo wa kusukuma kete tu.
  9. B

    Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

    Namuona Bwana Poul Christian Makondo anaikaribia Namba 1.
  10. B

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bahari ya Dar es salaam ndipo ambapo zinapatokana makao makuu ya Taasisi nyingi ikiwemo Tiss.
  11. B

    Je, ulishawahi kumtukana mkubwa wako kimoyomoyo? Je, alikuwa nani na alisema au alifanya kitu gani?

    Habari wanabodi Binafsi nimeleta uzi huu kwa kuamini kabisa kama binadamu kuna wakati tunakosea na kuna wakati tunakosewa vilevile. katika kukosea na kukosewa kuna ile hali mtu kureact/kukasilika pengine ulionesha hadharani ama hukuonesha. Hapa nazungumzia ile hali ya kutokuonyesha lakin moyoni...
Back
Top Bottom