Mwanzoni kabisa mw amiaka ya 90's kulikua na jambazi sugu Temeke mitaa Keko alijulikana kwa jina la Kubwa. Huyu Bwana anapiga ngumi nyingi kwa wakati mmoja na ngumi ikikupata utasema umepigwa chuma chakavu. Moja kati ya tukio lake kubwa huyu bwana ni pale alipokua anachungulia moja ya nyumba ya...
Pengo kwa nafasi yake alikua kitaifa zaidi yaani kiimani na kiserikali pia. kiimani amefanya mazuri sana kwa kuunganisha wakristo wote hata kabla ya 1992 alipoteuliwa na Papa kua Kadinali. Kiserikali pia alifanya vizuri sana japo kweli katika mchakato wa kupata katiba mpya alienda akinyume na...
kipindi cha hivi karibuni tumeona ma DGIS wakipangwa na kupanguliwa hii inaashiria kuna jambo haliko sawa ndani kabisa ya system. Sasa pengine ni katika kujenga kwa maana ya kwamba DGIS anatamani kuondosha kabisa matendo haya ya kidhalimu yanayoendelea nchini lakin anashindwa kutokana na...
Habari wanabodi
Binafsi nimeleta uzi huu kwa kuamini kabisa kama binadamu kuna wakati tunakosea na kuna wakati tunakosewa vilevile. katika kukosea na kukosewa kuna ile hali mtu kureact/kukasilika pengine ulionesha hadharani ama hukuonesha. Hapa nazungumzia ile hali ya kutokuonyesha lakin moyoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.