Recent content by Black BackUp

  1. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, badili uzungumzaji wako, huu wa sasa hauendani na hadhi ya kiti unachokalia

    Watu eheee eheeee. “Tunataka katiba mpyaa, katiba mpyaa. Ukiwauliza unataka sehem gan ya katiba ibadilishwe hajui… ohoo si tunataka katiba mpyaa. Ukimuuliza kwanini katiba mpyaa ohooo ile ya zamani haifai”
  2. B

    JamiiForums Tanzania "Uzalendo" Ufundishwe Shuleni kama Somo

    Wahaini Mlio Mtaani mnatosha, tudeal na kizazi hiki cha mshuleni kwasasa ili kujenga
  3. B

    JamiiForums Tanzania "Uzalendo" Ufundishwe Shuleni kama Somo

    Habari, Uzalendo ni nini? Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda ,kuithamini, kujitolea kwa hali na mali na hata kufa kwa aajili ya nchi yake. Ukirudi mashule kuna masomo kama uraia na mengineyo lakin ukiangalia mitaala sana inasimulia zaid historia ya nchi na matukio yaliojitokeza sambamba na tawala...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Siku za Mwisho Kabla ya Tanzania kurudi kuwa Tanganyika

    Mungu ibariki Tanzania, Kutokana na kile kinachoendelea katika mijadala mbalimbali hata Bungeni kwakweli kinazidi kuleta mpasuko juu ya Muungano huu wa Tanganyika na zanzibar. Alisimama Mbunge Shadya wa zanzibar na kusema "kuna mijadala inayoendelea hata katika magroup yao" namna watu...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

    hummingbird ni Hatari sana
  6. B

    JamiiForums Tanzania Swali: Je, shushushu (mwanausalama) akihitilafiana na raia wa kawaida hawezi tumia mbinu za kazi yake kumshughulikia?

    wana usalama kudeal na raia katika jambo la personal hua sio lazima kujitambulisha. akikuonyesha tu advatise moja, mwenyewe unatoka kwenye reli. Mwenyewe wanajua namna ya deal na mtu mmoja moja
  7. B

    JamiiForums Tanzania Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

    Sina uwakika na ukisemacho, Mbona ukiwekeza iwamba ni saafi sana nna jamaa yangu ana hotel na ina miaka sasa na anafurahia mapato ya kutosha tu japo wakati flan kun kampuni ilitaka imepe karibu milion 100 kuchukua eneo lake. Wewe uko sehem gani?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nasikitika Sana Kuona Shilingi yetu Ya Tanzania Inavyoporomoka

    kuhemea ni kufanya manunuzi ya bidhaa ndogondogo
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nasikitika Sana Kuona Shilingi yetu Ya Tanzania Inavyoporomoka

    Habari zenu WanaJF, Mimi sio Mwanauchumi lakin kwa namna Tsh yetu inashuka thamani nazidi kusikitikia hata uongozi kwa namna wasivochukua hatua, mfano sikuhizi ukienda shell na elfu kumi unapata lita mbili tu, wakati miaka michache iliyopita ulikua unapata mpaka lita 5 kwa tsh elfu kumi...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Kwa vyovyote hamie mtangazaji atakua kakosea kutamka tarakimu. Haiwezekani kilometa 2 za barabara kwa bilion 50 hamie.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: Nilimuuliza Rais swali gumu wakanifungia kufanya kazi ya uanahabari

    shida sio mkuu wa nchi hata kidogo, shida ni wale wasaidizi wakati mwingine huchukua sheria mkononi wakidhani watamfurahisha boss mkubwa na matokeo yake kuchafua taswira yote katika taasisi hasa kiti cha Mh rais
  12. B

    JamiiForums Tanzania Prof Mohammed Hassen: Ethiopia anasema waarab(UAE) Wana project ya mda mrefu ya kumiliki bandari zote za Afrika ikiwemo ya Dar. TISS hawajui!?

    The information is power. TISS has previously, currently, and future information for the sake of the Tanzanian nation. The information outlines the anticipated economic, political, social, and leadership trends that are likely to influence the country's future over the next two to three decades...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Mkuu mchezo utakua ni uleule wa kupeana kijiti mpaka 2040 ndo tutaanza upya..... Nchimbi 2028-20240 the Game Changer
  14. B

    JamiiForums Tanzania Tuwape maneno ya faraja na kuwatia moyo wanaume wenzetu wanaopigwa na wake zao huku wakiuchuna kana kwamba hawapigwi

    Usipromoti mambo haya mkuu katika jukwaa hili maana utawaponza wanawake ambao wako kwa ndoa zao kujiona wanatuweza alafu wakaumia na ndoa kuvunjika kabisa
Back
Top Bottom