Watu eheee eheeee. “Tunataka katiba mpyaa, katiba mpyaa. Ukiwauliza unataka sehem gan ya katiba ibadilishwe hajui… ohoo si tunataka katiba mpyaa. Ukimuuliza kwanini katiba mpyaa ohooo ile ya zamani haifai”
Habari,
Uzalendo ni nini?
Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda ,kuithamini, kujitolea kwa hali na mali na hata kufa kwa aajili ya nchi yake.
Ukirudi mashule kuna masomo kama uraia na mengineyo lakin ukiangalia mitaala sana inasimulia zaid historia ya nchi na matukio yaliojitokeza sambamba na tawala...
Mungu ibariki Tanzania,
Kutokana na kile kinachoendelea katika mijadala mbalimbali hata Bungeni kwakweli kinazidi kuleta mpasuko juu ya Muungano huu wa Tanganyika na zanzibar. Alisimama Mbunge Shadya wa zanzibar na kusema "kuna mijadala inayoendelea hata katika magroup yao" namna watu...
wana usalama kudeal na raia katika jambo la personal hua sio lazima kujitambulisha. akikuonyesha tu advatise moja, mwenyewe unatoka kwenye reli. Mwenyewe wanajua namna ya deal na mtu mmoja moja
Sina uwakika na ukisemacho, Mbona ukiwekeza iwamba ni saafi sana nna jamaa yangu ana hotel na ina miaka sasa na anafurahia mapato ya kutosha tu japo wakati flan kun kampuni ilitaka imepe karibu milion 100 kuchukua eneo lake. Wewe uko sehem gani?
Habari zenu WanaJF,
Mimi sio Mwanauchumi lakin kwa namna Tsh yetu inashuka thamani nazidi kusikitikia hata uongozi kwa namna wasivochukua hatua, mfano sikuhizi ukienda shell na elfu kumi unapata lita mbili tu, wakati miaka michache iliyopita ulikua unapata mpaka lita 5 kwa tsh elfu kumi...
shida sio mkuu wa nchi hata kidogo, shida ni wale wasaidizi wakati mwingine huchukua sheria mkononi wakidhani watamfurahisha boss mkubwa na matokeo yake kuchafua taswira yote katika taasisi hasa kiti cha Mh rais
The information is power. TISS has previously, currently, and future information for the sake of the Tanzanian nation. The information outlines the anticipated economic, political, social, and leadership trends that are likely to influence the country's future over the next two to three decades...
Usipromoti mambo haya mkuu katika jukwaa hili maana utawaponza wanawake ambao wako kwa ndoa zao kujiona wanatuweza alafu wakaumia na ndoa kuvunjika kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.