Recent content by Black BackUp

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Target sio wewe mkuu ni watu kutoka Moscow kuja kufanya biashara na utalii..... Hukuona mazungumzo baina marais wawili Putin na Samia walichokubaliana ndo hiki matekelezo na matokeo yake. Aibu utaona wewe
  2. B

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    kwani hujashuhudia uchawi wa kizungu kwenye SGR DOM to Dar masaa 3?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar | 02 Septemba, 2026

    Habari wana bodi, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Jana tar 02/09, Rais Samia alipokua anawaapisha wakuu wa mikoa wateule pale katika ikulu Ndogo ya Tunguu Zanzibar alizungumza mengi pamoja na kuwasihi wakuu wa mikoa wapya kufanya kazi kwa bidii na kuwatumikia wananchi. Pamoja na mengi...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Mchezo umekamilika. Now I see next President from southern party of Tanzania 2030
  5. B

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

  6. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Bibilia Takatifu inasema " Mjikusanyapo zaidi ya watu wawili bhasi na Mungu anakua kati yenu au anajiungamanisha na nyie". Sasa Baraza la maaskofu walijikusanya wakaa wakaandika waraka wakauita "Tafakari ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Juu ya Yaliyotokea Siku na Baada ya...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Asiaminike sana, system wengi huwa hawastaafu

    They call it a system in a system.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    hizo si fununu za kufutwa uanachama kama watu wanadhani, bali tunawekwa tayari kwa ajili ya mapokeo ya yanayokuja kujili.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Barozi mngoni anakua namba moja soon. Note these words
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa Ufahamu: Namna ya Kuwabaini Matapeli wanaotumia mbinu ya kupiga Picha na Viongozi

    Ile kazi ya Jeshi ishapatikana. Tuma laki tano tu ili niwape makamanda wakupangie kituo cha kazi. Yaani wewe huwendi kusota kabisa ni moja kwa moja unaanza kazi bila mafunzo yoyoye maana vyeti vyako ni vizuri sana, Kombati utazifata kwangu pamoja buti na mkanda. nimeongea na huyu kamanda hapa...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, badili uzungumzaji wako, huu wa sasa hauendani na hadhi ya kiti unachokalia

    Watu eheee eheeee. “Tunataka katiba mpyaa, katiba mpyaa. Ukiwauliza unataka sehem gan ya katiba ibadilishwe hajui… ohoo si tunataka katiba mpyaa. Ukimuuliza kwanini katiba mpyaa ohooo ile ya zamani haifai”
  12. B

    JamiiForums Tanzania "Uzalendo" Ufundishwe Shuleni kama Somo

    Wahaini Mlio Mtaani mnatosha, tudeal na kizazi hiki cha mshuleni kwasasa ili kujenga
  13. B

    JamiiForums Tanzania "Uzalendo" Ufundishwe Shuleni kama Somo

    Habari, Uzalendo ni nini? Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda ,kuithamini, kujitolea kwa hali na mali na hata kufa kwa aajili ya nchi yake. Ukirudi mashule kuna masomo kama uraia na mengineyo lakin ukiangalia mitaala sana inasimulia zaid historia ya nchi na matukio yaliojitokeza sambamba na tawala...
Back
Top Bottom