Recent content by Black awareness

  1. Black awareness

    Serikali: Atakayebainika kuihujumu nchi kuhusu kushikwa kwa ndege ya ATCL atafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi

    Vipi lakini ile kisomo chetu kilichoandaliwa na bakwata ni lini! Kuna shaba nije na masela wangu? #dawayadenikulipa
  2. Black awareness

    Mwalimu Mkuu ajiua baada ya kutuhumiwa kufanya ubadhilifu wa fedha za ujenzi

    Ule utaratibu wa afisa elimu ulishaanza au ili pati gazeti?
  3. Black awareness

    Mwalimu abambwa na sihala ya Kivita AK 47 darasani

    Naye mzembe Sana utakamatwa vipi kienyeji wakati Una jegeja la Rambo.
  4. Black awareness

    Watatu wafariki katika ajali ya basi la mwendokasi na Pikipiki. Watu 20 mbaroni kwa kuharibu basi la Mwendokasi

    Kwenye zebra haivuki bodaboda mzee, kwa hiyo amevunja sheria kwa kutumia zebra na bodaboda yske
  5. Black awareness

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Kwa hiyo kesho ndio tunaokoa watu au tunaenda kuvua maiti? Karne ya 21 tunashindwa kufanya uokoaji usiku na mchana kisa taa tu? That's a big joke! Sasa kama kivuko kingezama usiku tungesubiri mpaka asubuhi? Sometimes hawa viongozi wawe serious..mbona katika mbio za mwenge mnaweka taa na...
  6. Black awareness

    Mwanza: Wananchi wakwama kupanda meli kisa hawana kitambulisho

    Nadhani mleta Uzi hajapinga Bali ni upeo wako mdogo ndio umetafsiri hivyo..suala LA msingi nni je taasisi husika imeshahakikisha kwamba watanzania wote wana vitambulisho? Dont be nonsense kwa kukurupuka tu kujibu kwa sababu ya mahaba..angalia na uhalisia wa hilo jambo
  7. Black awareness

    Makusanyo ya madini Mirerani yashuka kutoka shilingi milioni 440 mpaka shilingi milioni 40

    Aliyetukana sio kikula ni prof mlacha ambaye alikuwa DVC finance and planning..na kwa taarifa yako idris kikula alikuwa hata kuonekana ni adimu..kwa hiyo acha kumsingizia hizo sifa mbaya.
  8. Black awareness

    Msafara wa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa wapata ajali Meatu

    Israili wa zamu amesimamishwa kazi leo kupisha uchunguzi kwa kutotekeleza majukumu yake ipasavyo.
  9. Black awareness

    Volkswagen yaweka sokoni magari yaliyotengenezwa nchini Rwanda kwa mara ya kwanza

    Wakati mkiendelea kulumbana na kubatiza madaraja majina ya ukoo wenu, sisi tumezindua viwanda vya magari na ifikapo 2020 Rwanda will be the IT center of Africa.
  10. Black awareness

    KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Siyanga, akataa hongo ya Mil 800

    Bwana kamishna kuna mambo mengine unatudanganya. Unga bado haujawa ghali kiasi hicho, proof ni mateja ambao wapo bus stops ni wengi na kipato chao ni kidogo. kuhusu rushwa uliyokataa kwa nini usingemuwekea mtego wa takukuru ili awe na kesi nyingine ya kutoa rushwa. Mbona mnapenda kutafuta kiki...
  11. Black awareness

    Zanzibar: Viongozi watano wa Jumuiya ya Maimamu waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha mwezi uliopita wapatikana

    Naomba vyombo vya dola vianze na kuwahoji hawa mashehe ili waweze kujua ni wakina nani wanahohusika na utekaji! Kwa nini watu wakitekwa wakirudi hawataki kusema chochote? Wanapewa nini uko?
Back
Top Bottom