Mkuu kwanza umemkosea muumba kwa kujidharau.... kama ni wa kishua 6yrs ameshidwa kukumegea hata ka mtaji ??? Hao ni waganga njaa kama unampenda pambana umchukue hata kwa kumjaza kibendi....Maisha yanabadilika any time alafu kaza na huyo huyo .Usikubali kushidwa kirahisirahisi.
Ndoa na kipindi cha urafiki ni vitu viwili tofauti kabisa .Mfundishe taratibu ataelewa ndio mana si tunapambana na hawa ambao umri ujapishana sana . Mlee taratibu atakomaa tu
Sometime haya ma parfect couple ni kama bahati nasibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.