Dah mkuu nashukuru umenifumbua macho nilikuwa nina mpango wa kununua kiwanja kupitia hivyo vikampuni ila sikuwa na uhakika kuhusu usalama wa hizo kampuni.
Watu wa benki wakati mwingine huwa hawaeleweki.
Ukienda mwenye nyumba wanakwambia wanataka uwe na duka,akienda mtu mwenye duka anaambiwa tunataka mwenye mali isiyohamishika nyumba au kiwanja,na akienda mwenye vyote hivi ataambiwa tunataka mtu aliyeajiriwa na kampuni ndio mdhamini...
Halafu kitu kingine mnachofeli vijana usingoje connection ikufuate nyumbani au mtu akushike mkono,connection inalazimishwa kwa efforts zako mwenyewe.
Okay any way jiunge na group langu la telegram humo utakutana na posts mbalimbali za kazi,ushauri kuhusu utafutaji wa kazi,kufanya...
Kwa nini sio valid.
Mimi nakupa ushauri wa maisha ambayo nimeyapitia achana na motivational speakers niko na experience ya 10 years kwenye Engineering field.
Nimetembea kwenye kampuni za level zote nikianzia kwa wahindi baada ya kumaliza chuo,after 1 year nikarukia kampuni ya wazungu...
Mkuu watu wanakuuliza mtaji wako ni kiasi gani ili wakupe ushauri hausemi.
Haya mimi niko Dubai nipe kazi nikufanyie,hakuna sababu ya wewe kuchoma nauli kuja Dubai.
Hapana jamaa alikuwa na mahesabu ya mbali sana sema watu wake waliomzunguka walikuwa pretenders.
So baada ya kufariki wakafurahi ili waendelee kupiga pesa za miradi.
So hatuwezi kumlaumu marehemu sasa hivi wakati hayuko duniani tuwalaumu hawa waliopo sasa hivi wameshindwaje kuendeleza.
Hata mimi nikienda Arusha huwa napanda haya mabus ya Esther,Extra luxury au Happy nation na silipagi zaidi ya 25k.
Watu huwa wanadanganywa na majina tu kisha wanapigwa hela nyingi.
Kuna huu uzi unahusu masuala ya kufungua kampuni,ingia ukaulize maswali yako kuna wataalamu watakujibu.
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1360557/
Nitamfikishia ujumbe ataufanyia kazi naona leo yuko bize,lakini kwa ushauri wangu binafsi kama kuna bidhaa umeipenda kwa jamaa na pesa yako imepungua usisite kumuweka wazi jamaa ni mtu muelewa sana namjua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.