nichekiElectrical engineering ambae hana kazii kuna nafsii mmoja ukicomment wek namba bachelor lkn wakuu chapu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
nichekiElectrical engineering ambae hana kazii kuna nafsii mmoja ukicomment wek namba bachelor lkn wakuu chapu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Poa nakuchekiMkuu wa bachelor ya electrical naomba namba yak kbal ya saa saba ni kazii kuna nafsii mmoja tu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Wakuu kuhusu fani za Engineering ukisubiria posts za serikalini utachelewa sana.Mkuu umeongea facts, linapokuja swala la ajira hususani kwa wahandisi linakuwa kizungumkuti , binafsi mimi mpaka leo mwaka wa pili tena sijabahatika kupata ajira yoyote hata kujishikiza licha ya kuwa degree ya uhandisi ujenzi (civil engineering).
Kama kutakuwa kuna mchongo wa uhakika mahala popote tusisite kupeana feedback.
kaka upo kampun gan utupe connectionWakuu kuhusu fani za Engineering ukisubiria posts za serikalini utachelewa sana.
Anza kuomba kwenye kampuni za wahindi upate experience kwanza baada ya hapo fursa zitaanza kufunguka zenyewe na zitakufuata bila kutumia nguvu
Nimeshaachana na kuajiriwa nafanya biashara zangu binafsi
Haha ila mkuu ushauri wako mboni sio valid?Nimeshaachana na kuajiriwa nafanya biashara zangu binafsi
Kwa nini sio valid.Haha ila mkuu ushauri wako mboni sio valid?
Halafu kitu kingine mnachofeli vijana usingoje connection ikufuate nyumbani au mtu akushike mkono,connection inalazimishwa kwa efforts zako mwenyewe.Haha ila mkuu ushauri wako mboni sio valid?
acha kutafuta connection bongo, chekecha uingie Australia kwanza.Tupe connection Hilo mi Nina shahada ya Electrical and Electronics na nasikia Australia currently kuna serious shortage ya skilled labour sema hii michongo ni connection Tu , ni connect na huyo jamaa basi au kama vipi drop contact yake hapa tumcheki Kwa WhatsApp au kama vipi drop contact yako hapa tukucheki whatsapp jomba
Tupe njia mkuuacha kutafuta connection bongo, chekecha uingie Australia kwanza.
na wewe ni engineerTupe njia mkuu
Yesna wewe ni engineer
Love thisHalafu kitu kingine mnachofeli vijana usingoje connection ikufuate nyumbani au mtu akushike mkono,connection inalazimishwa kwa efforts zako mwenyewe.
Okay any way jiunge na group langu la telegram humo utakutana na posts mbalimbali za kazi,ushauri kuhusu utafutaji wa kazi,kufanya usahili,kuandika cv nk.
kaka unadeal san ishu gnKwa nini sio valid.
Mimi nakupa ushauri wa maisha ambayo nimeyapitia achana na motivational speakers niko na experience ya 10 years kwenye Engineering field.
Nimetembea kwenye kampuni za level zote nikianzia kwa wahindi baada ya kumaliza chuo,after 1 year nikarukia kampuni ya wazungu bongo,nikafanya 2 years nikarukia kampuni lingine la wazungu nikasepa nao nje ya nchi nikala nao maisha kwa miaka 2 yaani kukwea mwewe kwangu ilikuwa ni kama kupanda bajaji tu baadae nikarudi bongo lakini kumbuka hapo CV yangu ilipanda kiwango nikawa sitaki tena kampuni uchwara na mshahara ni 6 figures tu chini ya hapo sifanyi kazi nilipata confidence ya hali ya juu.
Kwa kifupi CV yangu ni ndefu mno ila muhtasari wake ndio huo.
Sasa kipindi hicho nilivyomaliza chuo ningesema nibweteke tu kusubiria ajira za serikali na kudharau kazi za wahindi nisingefika viwango hivi.
kaka vip mechanical technician tunawez kutumaChemical processing engineer,tuma CV kwenye hii email
fmsilanga@sbslogistics.co.tz