Maendeleo ya Ujenzi wa SGR Dar - Moro wafikia asilimia 77

kuna watu wanahisi ukiwa mpinzani basi unatakiwa kupinga kila jambo kumbe sivyo kuna mambo ya mazuri unaweka tiki na kuna mambo ya hovyo unaweka x

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ujinga sana kutaka mtu anayeitwa MPINZANI tena kikatiba aisifie Serikali. UPINZANI au OPPOSITION kazi Yao ni KU-OPPOSE. Yaani yupo bungeni na Uraiani KU-OPPOSE. Sasa mnatakaje MSIFIWE na OPOSER? Yaani katiba imempa haki ya kulipwa Mishahara na Posho kwa ku OPPOSE tu. Mkitaka asiwapinge FANYENI yote Yale YANAYOWAPASA kufanya.

Kazi ya ku OPPOSER itafanyaka kwa kutumia ANY available PLATFORM. Sasa wakati wa serikali zilizopita angalau wazee wa ku OPPOSE walikuwa wanatumia RADIOS kwa kununua airtime, wanatumia MAGAZETI kama ya Kubenea ya MwanaHALISI, wanatumia mikutano ya Hadhara n.k. Sasa hivi hizo platforms HAZIPO. Iliyopo na ambayo haina gharama ni MTANDAO. Unataka OPOSER afanyeje?

Na ukumbuke huyu mtu ANALIPWA Posho na Mishahara kwa kazi ya KUPINGA tu sasa akiwa msifiaji si Mishahara itaenda bure? Hivi hamjui kuwa bungeni Kuna kiongozi wa kambi ya KUPINGA? Hamjui kuwa kiongozi wa kambi ya KUPINGA anapewa Gari, mafuta na gharama zingine za kiutendaji ANALIPWA kwa KODI zetu? Kumbe KUPINGA PINGA ni KAZI na FANI ambayo ni HALALI kabisa?

Mwisho : NAOMBA SERIKALI ITENGENEZE MSWADA UWEKWE BUNGENI UJADILIWE NA UPITISHWE KWAMBA TANZANIA IWE NCHI YA CHAMA KIMOJA NA KUHARAMISHA KILA AINA YA UPINZANI.
 
Ni ujinga sana kutaka mtu anayeitwa MPINZANI tena kikatiba aisifie Serikali. UPINZANI au OPPOSITION kazi Yao ni KU-OPPOSE. Yaani yupo bungeni na Uraiani KU-OPPOSE. Sasa mnatakaje MSIFIWE na OPOSER? Yaani katiba imempa haki ya kulipwa Mishahara na Posho kwa ku OPPOSE tu. Mkitaka asiwapinge FANYENI yote Yale YANAYOWAPASA kufanya.

Kazi ya ku OPPOSER itafanyaka kwa kutumia ANY available PLATFORM. Sasa wakati wa serikali zilizopita angalau wazee wa ku OPPOSE walikuwa wanatumia RADIOS kwa kununua airtime, wanatumia MAGAZETI kama ya Kubenea ya MwanaHALISI, wanatumia mikutano ya Hadhara n.k. Sasa hivi hizo platforms HAZIPO. Iliyopo na ambayo haina gharama ni MTANDAO. Unataka OPOSER afanyeje?

Na ukumbuke huyu mtu ANALIPWA Posho na Mishahara kwa kazi ya KUPINGA tu sasa akiwa msifiaji si Mishahara itaenda bure? Hivi hamjui kuwa bungeni Kuna kiongozi wa kambi ya KUPINGA? Hamjui kuwa kiongozi wa kambi ya KUPINGA anapewa Gari, mafuta na gharama zingine za kiutendaji ANALIPWA kwa KODI zetu? Kumbe KUPINGA PINGA ni KAZI na FANI ambayo ni HALALI kabisa?

Mwisho : NAOMBA SERIKALI ITENGENEZE MSWADA UWEKWE BUNGENI UJADILIWE NA UPITISHWE KWAMBA TANZANIA IWE NCHI YA CHAMA KIMOJA NA KUHARAMISHA KILA AINA YA UPINZANI.
Kumbe kupinga ni kazi ya ili kupata ugali,mimi nikajua lengo ni kukosoa ili mambo yawekwe sawa.ndio maana wanapuuzwa.
 
Kumbe na wewe mate yanakutoka kwa mbaliii. Any way JPM anawapigia kazi watz wote.
Ndio wajibu wake kufanya kazi. Kwani ulitaka tumlipe na kumtunza yeye na familia yake ili akae na kula na kupigiwa makofi tuu?

Ni sawa na wewe uolewe kwa sherehe kubwa kisha ukienda kwa mumeo kutoa unyumba unaona in hisani na unataka usifiwe kwa kunengua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi yenu ni majungu na kupanda treni ujenzi wa reli ukikamilika. Sisi kazi yetu ni kujenga reli.
Ova!

Usichokijua mburula wewe (pamoja na wenzako) ni kuwa hiyo pesa inayotumika kwenye hiyo white elephant projects sio ya Magufuli wala ccm, ni ya walipa kodi. Na nalipa kodi kuliko nyie waimba mapambio combined.
 
Usichokijua mburula wewe (pamoja na wenzako) ni kuwa hiyo pesa inayotumika kwenye hiyo white elephant projects sio ya Magufuli wala ccm, ni ya walipa kodi. Na nalipa kodi kuliko nyie waimba mapambio combined.
Uchuro utakuua wewe. Kodi tunalipa wote. Njoo 'site' uone tunavyopiga kazi!

Picha ya kwanza: Tunachonga side slopes baada ya kumaliza kazi ya kukata mwamba (Rock blasting and excavation). Hapa ni km 153, ni km 7 kutoka Mikese.
1589614174590.png


Picha ya pili: Baada ya kulipua mwamba
1589614463457.png

Picha ya tatu: Overpass at Km 193. Barabara ya kwenda Dodoma hapa inapita juu, SGR inapita chini. Tunajiandaa kupandisha steel beams.
1589614641819.png


Daima mbele kurudi nyuma mwiko!
Kelele za chura ………!
 
Mkuu imhotep hiyo ilikuwa ni May 2020 walisema wako 77%, leo ni June 2022 bado SGR Dar -Moro haijatembea. Magufuli alikuwa mkurupukaji
Hapana jamaa alikuwa na mahesabu ya mbali sana sema watu wake waliomzunguka walikuwa pretenders.
So baada ya kufariki wakafurahi ili waendelee kupiga pesa za miradi.
So hatuwezi kumlaumu marehemu sasa hivi wakati hayuko duniani tuwalaumu hawa waliopo sasa hivi wameshindwaje kuendeleza.
 
Back
Top Bottom