Wapinzani wa Tanzania jaman ni vichekesho saña.Kipindi cha Kikwete mlisema ,chama kinamfumia mikononi.Tukàsubir weee chamà kikachukuà dola.Mmeanza JPM mwisho 2020,lakini dalili zinaonyesha JPM mwisho 2025.Swali.Kwann mnapenda kuota?Kwañn mnàowachukia wakiwa CCM,wakija upinzàn wànakuwa viongoz...
Tanzania kuna vituko jaman.Kwa hiyo chama cha wanasheria wa UK ni kubwa kuliko serikal yetu?Na tunaomba watukome.Sisi ni nchi huru hatutaki ujinga huo.
Jaman sisi ni watanzania .Wakenya wasitumie nafasi hiyo kutuchonganisha.Leo hii wakenya ndo wawe great thinkers eti wanajua ,nchi yetu ndani na nje?Huo ni uwongo na wivu kwa Rais wetu Dr magufur tukatae huo uchonganishi.Mbona wakati wa uchaguz wa Kenya yule jamaa wa IT aliuliwa lakin huyu...
Kampuni ya TIGO sasa yatapeli wateja wake vifurushi:Kampuni ya Tigo sasa ,inajitegenezea kaburi ,la kutoweka katika huduma za simu nchini Tanzania baada ya kuanza utapeli kwa wateja wake.Kwa wiki hii tu,mm binafsi wamenitapeli jumla ya shs 2000.Hii ina maana kuwa kwa wateja million moja...
Hayo ni maoni ya wazungu wachache wenye mtizamo hasi .Kama kweli ni rais halis wa south Africa hawezi kutoa comment za kipumbavu kama hizo.Hata Mandela marehemu nchi ya kwanza kutia mguu baada ya kutoka jela 1990 ni Tanzania
ZITTO KABWE ,WAOMBE MSAMAHA WANAWAKE NA WASICHANA.
Mbunge wa kigoma na mwenyekiti wa chama cha ACT wazalendo Zitto Kabwe ametoa maneno ambayo yanawadharirisha wanawake na kina Dada watanzania.Zitto ametoa maneno ya dharau kwa wanawake wawili wa chama cha chadema ambao walichaguliwa kuwa wabunge...
List hiyo ni ya vyeti ambavyo ni incomplete. Sio fake.Mleta mada kakosea au hakuelewa heading. Ina maana kuna watu hawakupeleka vyeti vyao vyote,kwa sababu mbambali.Mfano alikuwa safarini etc.
Yaan kusoma heading na keelewa vizur inakushinda.?Je ,haukuelewa kichwa cha habar?Au umeamua kuwa mzushi?Je,kama tutakuwa na vijana watanzania kama ww tutafika?Mod ondoeni hii habar si kuweli.Au jaribun kuimodify.
Sherehe za May Mosi zimemalizika ,na kufana huko Kilimanjaro.Rais amesema kwa budget ya mwaka huu kutakuwa na annual increments ,Promotion kwa wafanyakazi na ajira mpya 52000.
Nape ananikumbusha ya Waziri Ezekiel Maige na Dr Rutengwe. Nape NNauye amepumzishwa kutoka kwenye uwaziri wa habari hivi karibun na Rais wetu Dr Magufuli baada ya kushindwa kufuata kanuni za utumishi.
Lakini toka Nape atumbuliwe na Rais hajakaa sawa. Nape anaonekana kuchanganyikiwa kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.