habari...
mie ni kijana niliyemaliza form six na.kufauru vizuri sijabahatka kusoma chuo kikuu kutokana na sababu za msingi zilizo nje ya uwezo wangu lakin nina kipaji cha kufundsha hesabu na kueleweka kwa haraka sana kuanzia darasa la nne nursery school mpaka kidato cha sita...
Nipo tayari...
habari wana JF.
ningependa kushea idea mbalimbali na wauzaji wa
Pumba laini za mchele au mahindi popote walipo
Tanzania.
Tujuzane bei mbalimbali za sehem husika.
Nitashukuru zaidi kama tutaendelea kujuzana zaidi
kupitia 0685733122 au 0658204496
ahsanteni.
Habari wana JF.
Ningependa kushea idea mbalimbali na wauzaji wa Pumba laini za mchele au mahindi popote walipo Tanzania.
Tujuzane bei mbalimbali za sehem husika. Nitashukuru zaidi kama tutaendelea kujuzana zaidi kupitia 0685733122 au 0658204496.
Ahsanteni.
hello Ladies and Gentlemen.
natumai mko salama mnaendelea na shughuli zenu za hapa na pale.Kuna umoja wa wanafunzi ambao walidsco vyuoni au waliahirisha masomo kwa sababu za hapa na pale na hawana tena uwezo wa kulipa ada katika masomo ya shahada ya kwanza.
kama umo ktk hii category au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.