Wakuu hi barabara tunasubiri Nini Kuitanua? Niliona kafulila kamfurusha Mbia ambaye alitaka Kufanya huu mradi na Serikali Kwa mode PPI ajenge halafu a impose Toll fee,
Baada ya Kuongea vile hajarudi Tena kutoa way forward
Barabara imekuwa kero Kubwa sana Kwa wasafiri Yani Foleni ya Kufa mtu...
Mimi makuzi yangu yote ilikuwa ni Baba na Mama hao ndio walikuwa full accountable na progress yangu sikuona Wala kusikia issue za ndugu kwahiyo Kwa sasa Mimi ndugu zangu ni Wazazi na Wanangu period
Nipo na LC 300 muda huu naelekea Dar, Bosi kanituma Nikamchukue kimada wake sasa kwanini unataka nitembee polepole ile hali natakiwa kuwahisha package ya Boss,
Nimewasha mpaka Vimuli muli mpira unatembea 160 to 180
Mwendokasi tu naona inawatoa Jasho, Mwenge apo na Kule Tegeta progress Iko very slow, Nawaza tu aisee Magufuli aliwezaje Kila Mkoa Kuweka Project ambayo ni tangible na Ina manufaa Kwa Umma
Magufuli ameacha alama kubwa sana yule mzee Kwa sasa Sioni kabisa hawa jamaa waki launch project kubwa...
Wakuu hio Barabara ni Kichomi sana Yani ni kero sana kuanzia Maili Moja apo mpaka Vigwaza, Lane mbili ni tabu tupu na Eneo tayari makazi yanaongezeka
Magufuli angekuwa Hai huo mradi ungekuwa ushatoboa chalinze
India hata mtu anaeuza mapera mtaani ana QR code yake unascan una Pay, Google pay pia Iko Kule Lakini pia service kama Tap to pay tayari ziko Kila Mahari huna haja ya kubeba cash
Viongozi wa Katoliki Kwa kweli hichi mnachofanya Hakina afya kabisa Kwa taifa
Sisi kama watanzania tunatambua fika kabisa Uongozi huu na legit na tuna support ili kusukuma guruduma la maendeleo nyuma Lakini nyie kuchwa kutwa kubweka kiukweli mnaleta mipasuko
Mkuu, Wewe ni sadist nakushauri tafuta Phycologist aanze kukufanyia counseling,
Luckily taifa leti Gun control Iko juu sana Yani hakuna silaha holela mtaani
Ila ungekuwa Majuu uko kama US ambazo guns zinauzwa kama njugu tayari ungebeba mtutu nakuenda Kufanya Mass shooting
Kufikia Katikati Mwakani tunaweza kuwa tumesha attain stability as a Nation,
Baada ya Hapo watu watarudi Kwenye Chess board kupanga upya safu ijayo
Wakati huu Kila Nukta ikiangaliwa Kwa umakini sana kuepusha Worst mistake iliyofanyika 2015
Wachomoa Battery wote wapo Chini Futi sita bahari ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.