Recent content by Bird Watcher

  1. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mwanamke nimezaa nae lakini anakata na kuyaunga mawasiliano anavyotaka yeye je hii sawa kwa mzazi wa kiumbe?

    Acha kuwa desperate na uyo mtoto, Kwasababu mtoto ni wako tu Kama Mwanamke anakujaribu kaa Kimya akionesha Ushirikiano na wewe ndio shirikiana nae the rest unavyokuwa desperate ndio atakutesa haswa
  2. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo adai kupokea vitisho kutoka kwa Mwigulu

    Aspirants wote wajiandae, mana jina tayari tunalo Mifukoni sasa wewe Lete Kelele tunangoa jina bila ganzi
  3. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mkimbize Mzee Warioba London achekiwe, thoroughly checkup ya afya yake. Achana na hospital za hapa watamfuata huko wahuni

    Huu Uchochoro wa mzee Kuanguka Leo ulikuwa mzuri sana
  4. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Nini kimempata Mzee Warioba?

    Itakuwa kapata Mshtuko kusikia First Gentleman Mzee Hafidh Kavuta,
  5. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    Unajua Mzee Kuongea uongo ni kazi sana
  6. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    Kabisa Ukiona Mwanasiasa anaanza kusideline na Wananchi kutafuta sympathy ya Umma ujue Kumekucha Uko Ndani Rigathi Gachagua Former Naibu Rais wa Kenya before his impeachment alifanya interview Fulani na Kina Linus wa Citizen TV ambayo kwa macho ya kawaida watu walianza kuhoji ni wapi ametoa...
  7. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Kitubio ama msamaha wa waziri?

    Kwa sasa Ku operate kwa ukimya ni faida Sana Kuliko hiyo popularity ya media all in all hao walimuweka hapo asihisi kama wanampenda sana
  8. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    Ila Ile interview Kenan alizingua Sana Kukubali iende hewani Yani Kwa maswali Yale critical vile hupaswi kwenda kwa interview ya vile
  9. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania UTABIRI: Ndejembi kuwa Rais wa awamu ya 7 kabla ya 2030

    Mambo huwa yanabadilika Sana kwa ground wakati ukifika Kila Mtu anaonesha rangi yake
  10. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania DKT. MWIGULU ATOA WITO WA MAANDALIZI YA MAPEMA KUKABILI ATHARI ZA EL NIÑO

    770 billions hawa Jamaa hawana aibu aisee
  11. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula: Balozi Polepole yupo gereza la Ukonga

    Kumshikiria huyo Mtu kama mateka ni too risk, He has gone
  12. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Nikiona mtu kama Bashite ni Waziri halafu Lissu yuko jela, ni mfano mwingine kwa Waafrika hawajitambui

    Hata wewe Leo ukipewa uunde serikali yako Jambo la Kwanza ni kuweka Loyalist wako karibu ili utawale kwa Amani mana watu wanatamani pia hio nafasi yako Trump alikuwa critized Sana na Baraza lake la Mawaziri pamoja na appointed za watu kama Director wa FBI Patel watu wali critize Sana Lakini he...
  13. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Mchuma janga hula na wa kwao
  14. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Wakuu nasikia G Malissa katekwa heti,si alikuwa nje ya Nchi,imekuaje Tena?

    Kwa Hali ilivyo kwa sasa na spanner zake zile amerudi kufanyaje tena jamani
  15. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mapya yaibuka, Mali za Gertrude Rwakatare. Watoto wake waingia kwenye mgogoro mzito

    Africa Kwenye Upande wa Transformation ya utajiri Yani generation to generations bado Sana hapo kila Kitu kitayeyuka
Back
Top Bottom