Recent content by Bird Watcher

  1. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna starehe kama hii?

    Pombe na wanawake ni Ultimatum, Hio ni starehe kuu kabisa
  2. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mwana FA,Msigwa na Makonda wote Kuingia Mitini kwenye ziara ya Nchimbi uwanja wa Afcon Arusha

    Majukumu yapi ayo yafanye wasitokee sehemu alipo namba Mbili?
  3. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Wanawake wapo Kwa ajili ya interest hakuna loyalty Kwa hao Viumbe na ni wakatili sana Jamaa apige Chini haraka sana kabla hatari zingine hazijatokea
  4. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Wahamiaji 14 wafa maji kisiwa cha Mafia

    Get rich or die trying
  5. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa wahadhiri vyuo vikuu wanukia

    Hao wapo jalalani kusikilizia uteuzi, Hakuna mtu wa Ku attempt hio movement Wakufunzi wenyewe ndio type ya Kina Kabudi na Ndalichako Kuna watu hapo kweli
  6. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Usitoe ahadi ambazo huwezi kuzitimiza zitakugharimu

    Lower your expectations Mkuu, Wewe unaepokea ahadi ndio unachangamoto
  7. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Wizi kimtandao mchana kweupe VODACOM

    Airtel Hali ndio mbaya zaidi imagine you just buy a new simcard and right away someone calls you and start to ask you for money, You end up asking yourself where did he get my number?! Telecom companies wanatuchukulia poa Sana Watanzania
  8. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwenye utekwaji wa Humphrey Polepole

    "Chuma mwenyewe alijua watabadilika Ivo akaona haina haja ya Kuwashughulikia" That was a grave mistake
  9. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Niliyojifunza kutoka kwenye utekwaji wa Humphrey Polepole

    Aiseeeee
  10. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini kitambulisho cha mpiga kura kinatoka ndani ya siku moja, cha NIDA kinakaa miezi?

    Izi Taasisi bado zinahitaji expert wa kuzifanyia heavy transformation mana overall zina Operate vile local Mkuu, imagine hata matumizi ya technology kwao yapo Chini sana
  11. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini kitambulisho cha mpiga kura kinatoka ndani ya siku moja, cha NIDA kinakaa miezi?

    Nida wazushi sana aise, Yani ata replacement ya ID tu nikipengele Kuna Taasisi zina Operate very local na zinahitaji transformation kubwa sana ikiwemo Nida na ardhi
  12. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Kila mtu ashinde Mechi zake
Back
Top Bottom