Acha kuwa desperate na uyo mtoto, Kwasababu mtoto ni wako tu
Kama Mwanamke anakujaribu kaa Kimya akionesha Ushirikiano na wewe ndio shirikiana nae the rest unavyokuwa desperate ndio atakutesa haswa
Kabisa Ukiona Mwanasiasa anaanza kusideline na Wananchi kutafuta sympathy ya Umma ujue Kumekucha Uko Ndani
Rigathi Gachagua Former Naibu Rais wa Kenya before his impeachment alifanya interview Fulani na Kina Linus wa Citizen TV ambayo kwa macho ya kawaida watu walianza kuhoji ni wapi ametoa...
Hata wewe Leo ukipewa uunde serikali yako Jambo la Kwanza ni kuweka Loyalist wako karibu ili utawale kwa Amani mana watu wanatamani pia hio nafasi yako
Trump alikuwa critized Sana na Baraza lake la Mawaziri pamoja na appointed za watu kama Director wa FBI Patel watu wali critize Sana Lakini he...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.