Watawala waache kuwachukulia Poa wananchi Kuna Vitu vidogo vidogo vinaleta hasira sana Mfano mtu analeta Drogba Kwa fundi za Wizara au Mtu anaingia kwenye kikao Cha budget na Mkoba wa 15m haya mambo yana kera sana
What a shame, Hawa activists wa Mitandaoni Majority ni njaa Kali na wachumia tumbo, Wanafanya izo Harakati purpose ili wapate Mkate wao wa siku, Never trust them
Wakuu natarajia kuwa na Safari almost TZ yote mikoani na wilayani! sasa based on experience je ni mtandao upo ipi miwili ambayo itani offer best coverage during my trip to Tanzania and probably pia naweza kufika na Nchi jirani za Africa mashariki wakuu
Hii deal Ruto ndio mtu Kati, Na kinachofanyika hapa ni sitaki na nataka, Dangote anapima Kina Cha Maji,
Yeye ajenge hio refinery hapo Mombasa Lakini at the end of the day hio pipe ya EACOP ukiwa completed tutaleta Investor mwingine
Hio Protection ya kisera anayoitaka sisi kama TZ haitatuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.