Recent content by Bird Watcher

  1. Bird Watcher

    KERO Barabara ya maili Moja mpaka Chalinze ni Kero kubwa

    Kwa kweli hii barabara wanatesa wananchi sana ni aibu kuwa na foleni kubwa Ivi
  2. Bird Watcher

    KERO Barabara ya maili Moja mpaka Chalinze ni Kero kubwa

    Wakuu hi barabara tunasubiri Nini Kuitanua? Niliona kafulila kamfurusha Mbia ambaye alitaka Kufanya huu mradi na Serikali Kwa mode PPI ajenge halafu a impose Toll fee, Baada ya Kuongea vile hajarudi Tena kutoa way forward Barabara imekuwa kero Kubwa sana Kwa wasafiri Yani Foleni ya Kufa mtu...
  3. Bird Watcher

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Mimi makuzi yangu yote ilikuwa ni Baba na Mama hao ndio walikuwa full accountable na progress yangu sikuona Wala kusikia issue za ndugu kwahiyo Kwa sasa Mimi ndugu zangu ni Wazazi na Wanangu period
  4. Bird Watcher

    Mdau ahoji magari ya serikali kuwa katika haraka wakati wote

    Nipo na LC 300 muda huu naelekea Dar, Bosi kanituma Nikamchukue kimada wake sasa kwanini unataka nitembee polepole ile hali natakiwa kuwahisha package ya Boss, Nimewasha mpaka Vimuli muli mpira unatembea 160 to 180
  5. Bird Watcher

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Mpaka 2030, Vichwa vingi vitakuwa Vimeinamishwa
  6. Bird Watcher

    Kafulila: Tumemkataa mbia barabara ya kulipia Kibaha -Chalinze kwa maslahi mapana ya nchi yetu

    Mwendokasi tu naona inawatoa Jasho, Mwenge apo na Kule Tegeta progress Iko very slow, Nawaza tu aisee Magufuli aliwezaje Kila Mkoa Kuweka Project ambayo ni tangible na Ina manufaa Kwa Umma Magufuli ameacha alama kubwa sana yule mzee Kwa sasa Sioni kabisa hawa jamaa waki launch project kubwa...
  7. Bird Watcher

    Kafulila: Tumemkataa mbia barabara ya kulipia Kibaha -Chalinze kwa maslahi mapana ya nchi yetu

    Wakuu hio Barabara ni Kichomi sana Yani ni kero sana kuanzia Maili Moja apo mpaka Vigwaza, Lane mbili ni tabu tupu na Eneo tayari makazi yanaongezeka Magufuli angekuwa Hai huo mradi ungekuwa ushatoboa chalinze
  8. Bird Watcher

    Kenya is going cashless

    Selcom Hana mpinzani
  9. Bird Watcher

    Kenya is going cashless

    India hata mtu anaeuza mapera mtaani ana QR code yake unascan una Pay, Google pay pia Iko Kule Lakini pia service kama Tap to pay tayari ziko Kila Mahari huna haja ya kubeba cash
  10. Bird Watcher

    Padre Proper Kessy: Wanaofanya kazi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wanajua wakizitoa zitaleta ukombozi

    Viongozi wa Katoliki Kwa kweli hichi mnachofanya Hakina afya kabisa Kwa taifa Sisi kama watanzania tunatambua fika kabisa Uongozi huu na legit na tuna support ili kusukuma guruduma la maendeleo nyuma Lakini nyie kuchwa kutwa kubweka kiukweli mnaleta mipasuko
  11. Bird Watcher

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Mkuu, Wewe ni sadist nakushauri tafuta Phycologist aanze kukufanyia counseling, Luckily taifa leti Gun control Iko juu sana Yani hakuna silaha holela mtaani Ila ungekuwa Majuu uko kama US ambazo guns zinauzwa kama njugu tayari ungebeba mtutu nakuenda Kufanya Mass shooting
  12. Bird Watcher

    Walio ndani wanasemaje kwenye hili sekeseke la 2030, Acha niseme kidogo ili watu Msidanganywe maana tuna mtu wetu tayari kutoka kwa WAKUU WAWILI

    Kufikia Katikati Mwakani tunaweza kuwa tumesha attain stability as a Nation, Baada ya Hapo watu watarudi Kwenye Chess board kupanga upya safu ijayo Wakati huu Kila Nukta ikiangaliwa Kwa umakini sana kuepusha Worst mistake iliyofanyika 2015 Wachomoa Battery wote wapo Chini Futi sita bahari ni...
Back
Top Bottom