Recent content by Bird Watcher

  1. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29: Siku ambayo Tanzania iliona kivuli cha Rwanda — lakini bado hatutaki kujifunza”

    Watawala waache kuwachukulia Poa wananchi Kuna Vitu vidogo vidogo vinaleta hasira sana Mfano mtu analeta Drogba Kwa fundi za Wizara au Mtu anaingia kwenye kikao Cha budget na Mkoba wa 15m haya mambo yana kera sana
  2. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa sana na habari ya wanaharakati wa CHADEMA kugombana kwa sababu ya pesa za michango. Nuruvazi na wenzake hapatoshi

    What a shame, Hawa activists wa Mitandaoni Majority ni njaa Kali na wachumia tumbo, Wanafanya izo Harakati purpose ili wapate Mkate wao wa siku, Never trust them
  3. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Kule Drogba Huku Mkoba wa LV Hawa Viongozi wa kiafrika ni mizigo aisee
  4. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Hizo opens Spots bado hazina ufusika wa kutisha Ivo, Kuna Club Mjini apa apa ni Members only aisee ni balaa mpaka za Gays zipo
  5. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Kulikoni Mchengerwa kutumia Mkoba wa Louis Vuitton wakati anawasilisha bajeti? Wataalamu huu mkoba shilingi ngapi?

    Mke mdogo ni Deputy Minister, Mkwe ni President yeye mwenyewe ni Minister kwanini atumie vitu Cheap aisee?
  6. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    We are in Kampala right now, to wintess the installation of YKM, guys for your information we are sovereignty
  7. Bird Watcher

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    Kuna tatizo mahali, Hawa Coparate dawa yao ni hio tu jaza mimba tembea, Dogo akikua hawezi kuishi Ujombani, Lazima akusake tu Mshua
  8. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba ananikumbusha "story" ya Waziri Mkuu wa zamani wa Nchi ya Burundi Alain Bunyoni

    Warioba ana hoja asikilizwe, Mawazo au hazipigwi rungu by Mkwere
  9. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Kama mzee Joseph Sinde Warioba anafanyiwa ushenzi huu wa vitisho, Je sisi kwangu kukavu weka mchuzi lazima tufe sana as it is today!

    Ile top layer haitakiwi kabisa iwe na madalali, Ni shida sana wazee Kuweka walanguzi state house, Mifumo ichunje clean layer ndio ikalie kiti kikuu
  10. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mtandao Gani una Coverage nzuri Countrywide

    Sawa
  11. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Mtandao Gani una Coverage nzuri Countrywide

    Wakuu natarajia kuwa na Safari almost TZ yote mikoani na wilayani! sasa based on experience je ni mtandao upo ipi miwili ambayo itani offer best coverage during my trip to Tanzania and probably pia naweza kufika na Nchi jirani za Africa mashariki wakuu
  12. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Kitambi ni ugonjwa na vilevile ni ishara ya uzembe. Wanaume wenzangu tujitahidi kupiga mazoezi

    Mwanaume unakuwaje na flat tummy aisee? Hio achia walimbwende na Models
  13. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Hii deal Ruto ndio mtu Kati, Na kinachofanyika hapa ni sitaki na nataka, Dangote anapima Kina Cha Maji, Yeye ajenge hio refinery hapo Mombasa Lakini at the end of the day hio pipe ya EACOP ukiwa completed tutaleta Investor mwingine Hio Protection ya kisera anayoitaka sisi kama TZ haitatuhusu...
  14. Bird Watcher

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kumtolea mtu figo

    Tuko makumbusho Mkuu, Kama uko serious sema
Back
Top Bottom