Recent content by BIOTYPE

  1. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Gwajima: Taifa tumekosa maono, inakuwaje kujenga reli kabla ya kuchimba chuma? Waziri Mwigulu ampinga

    Kipindi siku za nyuma Bw Zitto alizungumzia kuchimba Chuma kabla ya kuanza ujenzi wa reli!
  2. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Je, Hayati Magufuli alichukia wawekezaji au alichukia wawekezaji janja janja?

    Watanzania waache kulalamika bali wajitume kwa juhudi na MAARIFA kuonyesha utaalamu na umahiri wa kutenda kazi ili wathaminiwe.
  3. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

    Alishakagua mashirika mangapi ya ndege nje ya nchi ili kuthibitisha anachozungumzia?
  4. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Tujadili matumizi ya V8 katika Taifa letu

    Kwa ajili ya kupunguza matumizi mabaya ya fedha tuache kununua magari kwa ajili ya viongozi na maofisa mbalimbali wa umma isipokuwa Rais, Makamu wake na Waziri Mkuu tu! Wengine watumie ya binafsi ila walipwe "mileage allowances". Hii itapunguza udalali wa manunuzi ya magari na matengenezo yake...
  5. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Huu udhaifu CHADEMA mtaurekebisha lini? Msemaji ni Makene au Lema?

    Ukiangalia kinachoendelea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, utatambua ni chama gani kinaogopwa!
  6. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kujitekenya na kucheka mwenyewe, basi ndio huku!

    Ye yote anayeona kwamba ana maslahi na shauri hili, kisheria ajitokeze na aijulishe mahakama ili naye ashirikishwe!
  7. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania A purge

    Salaaleee!
  8. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Hali si hali: Magufuli ana uungwaji mkono kiasi gani ndani ya chama?

    Kwa kuwa inadaiwa kwamba awamu zilizopita *ziliachia (ruksa)*, basi ni lazima baadhi ya viongozi kwenye hizo awamu waguswe vinginevyo itaonekana ni uzushi!
  9. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Musiba sasa ‘awatukana, kuwabagaza na kuwadhalilisha’ wanachama wote wa CCM. Kiburi hiki anakitoa wapi?

    'Cut off point" ya kushughulikia wakubwa wahujumu uchumi / mafisadi nk inaanzia mwaka gani na kwenye maeneo gani?
  10. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania RC Makonda alikuwa anampa nani huu ujumbe mzito?

    Stage for counseling and psychotherapy!
  11. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania KWIYEYA: Ni kweli Bashe na Nape hawakupikwa vizuri

    Ili Nape na Bashe "waive kisiasa", basi wahudhurie chuo cha mafunzo alikoivishwa huyo Katibu Mkuu wao!
  12. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Umasikini ule ulitutesa sana, Isijirudie tena...

    Kwa hisani ya Watu wa Marekani! :confused:
  13. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Spika na Naibu spika mnaliharibu na kulivuruga bunge la Tanzania

    Nimeota kwamba Spika Ndugai kwamba hivi karibuni atatoa *parole* kwa wahusika!
  14. BIOTYPE

    JamiiForums Tanzania Lissu, kukuchangia hela halafu unapiga picha unatumbua minyama siyo sawa

    Teh teh, … Pengine siku hiyo alipewa ofa na mfadhili, kwa hiyo akapata dozi kamili ya mlo wenye virutubisho!
Back
Top Bottom