Spika na Naibu spika mnaliharibu na kulivuruga bunge la Tanzania

Hakikwanza

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
4,034
1,003
Spika Job Ndugai na naibu Tulia kwa kweli jinsi mnavyoliendesha Bunge mnalifanya liwe kituko na sio mhimili uliohuru tena. Bunge limekuwa haliisimamii serikali. Bali serikali imekuwa ikilisimamia bunge. Ni kweli bunge ni la chama kimoja ila tuangalie maslahi mapana ya taifa. Bunge limekosa utamu kabisa. CAG alisema bunge dhaifu hakukosea amesema iliyo kweli kabisa; ila kwakuwa hamtaki kuambiwa kweli mnampeleka kumhukumu kwenye hiyo kamati iliyokosa weredi na uhuru. Watanzania tuamke, tupo hatarini hili bunge sio kabisa vinginevyo uwe mnafiki ama huipendi nchi yako.
 
Kabisa, upuuzi mwingi sidhani yote hayo ni maelekezo ya mmliki wa remote. Wanaweza kujipendekeza kwa hekima walau,si kuuvua muhimili nguo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika Job Ndugai na naibu Tulia kwa kweli jinsi mnavyoliendesha Bunge mnalifanya liwe kituko na sio mhimili uliohuru tena. Bunge limekuwa haliisimamii serikali. Bali serikali imekuwa ikilisimamia bunge. Ni kweli bunge ni la chama kimoja ila tuangalie maslahi mapana ya taifa. Bunge limekosa utamu kabisa. CAG alisema bunge dhaifu hakukosea amesema iliyo kweli kabisa; ila kwakuwa hamtaki kuambiwa kweli mnampeleka kumhukumu kwenye hiyo kamati iliyokosa weredi na uhuru. Watanzania tuamke, tupo hatarini hili bunge sio kabisa vinginevyo uwe mnafiki ama huipendi nchi yako.
Bunge la vituko !
 
Watu wanapewa madaraka makubwa yanayojenga Nchi harafu vichwani mwao wa kawaida kabisa hawajui chochote zaidi ya kuibomoa yaani hata madhara ya kukataa kazi za CAG wasomi waliopo Bungeni Dodoma hawajui kuna haja ya kuwapokonya vyeti vyao...
 
Spika Job Ndugai na naibu Tulia kwa kweli jinsi mnavyoliendesha Bunge mnalifanya liwe kituko na sio mhimili uliohuru tena. Bunge limekuwa haliisimamii serikali. Bali serikali imekuwa ikilisimamia bunge. Ni kweli bunge ni la chama kimoja ila tuangalie maslahi mapana ya taifa. Bunge limekosa utamu kabisa. CAG alisema bunge dhaifu hakukosea amesema iliyo kweli kabisa; ila kwakuwa hamtaki kuambiwa kweli mnampeleka kumhukumu kwenye hiyo kamati iliyokosa weredi na uhuru. Watanzania tuamke, tupo hatarini hili bunge sio kabisa vinginevyo uwe mnafiki ama huipendi nchi yako.
Walaumu hao viumbe kwa kukubali kutumika lkn tatizo kubwa ni jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika Job Ndugai na naibu Tulia kwa kweli jinsi mnavyoliendesha Bunge mnalifanya liwe kituko na sio mhimili uliohuru tena. Bunge limekuwa haliisimamii serikali. Bali serikali imekuwa ikilisimamia bunge. Ni kweli bunge ni la chama kimoja ila tuangalie maslahi mapana ya taifa. Bunge limekosa utamu kabisa. CAG alisema bunge dhaifu hakukosea amesema iliyo kweli kabisa; ila kwakuwa hamtaki kuambiwa kweli mnampeleka kumhukumu kwenye hiyo kamati iliyokosa weredi na uhuru. Watanzania tuamke, tupo hatarini hili bunge sio kabisa vinginevyo uwe mnafiki ama huipendi nchi yako.
Kweli kbs. Napendekeza rais alihutubie bunge na kuliweka sawa. CAG anaibua ufisadi, ubadhririfu wa Mali za umma na wahusika ni viongozi ambao mamlaka za uteuzi zinatakiwa kuwachukulia hatua lkn bunge kama halitoi maagizo kwa hizo mamlaka ni kama CAG anafanya kazi bure. Mbona hatusikii bunge likitoa maagizo baada ya kujadili ripoti za CAG? Na kama serikali haichukui hatua mbona bunge haliiwawajibishi wahusika? Bunge lisijipendekeze kwa serikali kwa Rais wetu hapendi wanafiki.
 
Ile kauli ya mkuu kwamba we watimue huko bungen ili waje waropokee huku nje afu mie ntadeal nao!
Ilikuwa na uzito mkubwa sana kwa Supika mkuu! Mnafikiri angefanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
k
Spika Job Ndugai na naibu Tulia kwa kweli jinsi mnavyoliendesha Bunge mnalifanya liwe kituko na sio mhimili uliohuru tena. Bunge limekuwa haliisimamii serikali. Bali serikali imekuwa ikilisimamia bunge. Ni kweli bunge ni la chama kimoja ila tuangalie maslahi mapana ya taifa. Bunge limekosa utamu kabisa. CAG alisema bunge dhaifu hakukosea amesema iliyo kweli kabisa; ila kwakuwa hamtaki kuambiwa kweli mnampeleka kumhukumu kwenye hiyo kamati iliyokosa weredi na uhuru. Watanzania tuamke, tupo hatarini hili bunge sio kabisa vinginevyo uwe mnafiki ama huipendi nchi yako.
Kitu cha muhimu kwa kiongozi ye yote yule ni kuwa na hekima na busara.Viti hivi havisomewi.Kiongozi wa jazba hatufai.
 
Back
Top Bottom