Recent content by Biny

  1. Biny

    A serious woman is needed for stable relationship

    Amekuja huyo unawatoto wangapi?
  2. Biny

    Hii ina ukweli wowote?

    Ukiwa na Imani za kiuzinzi hata bao kumi utafika tu ili mradi mkomoeni ipite mm Nina wake wawili wa ndoa it's depend na muhusika alivyo Basi mmoja hufika moja Ila mwengine hata tatu mnaenda. So depends on type.
  3. Biny

    Msaada: Ushuru wa Bandari ni kiasi gani?

    Tpa handling ndio hiyo. Tanzania port authority
  4. Biny

    Ushuru msingi milioni 5

    Dimaa Ni milioni mbili la laki Saba kwa mwaka? Kumbe Ni gharama kiasi hiko.
  5. Biny

    Ushuru msingi milioni 5

    Wanajamvi ningependa kujua malipo ya mtaji mil5 tea kwa mwaka.
  6. Biny

    Waziri Kalemani: Ni marufuku wananchi kulipia nguzo

    Habari zenu nataka kuungiwa umeme nimeletewa bili ya nguzo mbili2 hadi sasa sijalipa. Jee natakiwa nilipie nguzo kama ilivyoleta invoice. Au nirudi nikalipie ile ya kawaida 175000/= Na pia tanesco wametusimamishia nguzo muda mrefu yapata miezi mitatu 3 sasa hawajaunganisha waya kwenye kijiji...
  7. Biny

    Ushauri biashara ya kufyatua matofali

    Mfuko mmoja ni 5000 hata wakiwa wafanyakazi kumi mfuko ni bei hiyo
  8. Biny

    Ushauri biashara ya kufyatua matofali

    Mashine sio gharama ya umeme unaweza pata nzuri na yenye chuma kigumu kwa mil2.5. Pia waweza nicheki 0719392415. Ninayo mpya nilinunua haijafanya kazi naweza nikakuuzia
  9. Biny

    Naweza safirisha bidhaa za mawe nje ya nchi kwa kutumia jina la biashara lililosajiliwa na BRELA?

    Nina changamoto za mwishoni ili nianze kusupply hii product kwa maana mifuko iko bei viwandani min order viroba 5000 bado kuchapa logo. Barcode na tbs na website nadhani ili nianze rasmi. Masoko yapo na ni mengi sana
  10. Biny

    Naweza safirisha bidhaa za mawe nje ya nchi kwa kutumia jina la biashara lililosajiliwa na BRELA?

    Kuhusu clearing and forwarding ipo kampuni ambayo nitadeal nayo ni hawa cargo fargo na nakumbuka waliwahi kunipigia simu kwa kutaka maelekezo ya product yng ikoje packaging za ujazo gani. Na hii ilitokana na wateja kama wa3 hivi kunipigia simu kutaka kujua bei zangu nikawatajia kwa mfuko. Ila...
  11. Biny

    Naweza safirisha bidhaa za mawe nje ya nchi kwa kutumia jina la biashara lililosajiliwa na BRELA?

    Hallo wadau nahitaji msaada wa kusafirisha mawe nje ya nchi. Jee naweza tumia jina la biashara ambalo nimesajilia brela? Naleta kwenu kwa ufafanuzi
Back
Top Bottom