😄😄😄mtoa mada umeongea ukweli kichwa kikiwa debe kila kitu utabisha na maandamano juu ukiulizwa sababu zamsingi hawanajibu pls pls my bandugu rudini shule ,tuijenge nchi
Kwa Ali kiba anatatizo la kutokujitangaza kwa kutosha alikuwa na show YA Zanzibar unaona a anandika tu 'Sauti za busara' ️sasa mtu anaelewa NINI hapo andika kinachoeleweka tukutane Sauti za busara tarehe flan BAsi then anasijui ndio dharau au kujisikia hayupo Karibu n washabiki zake na...
Point SIO kuiga diaper imetengenezwa na material YA cotton ili kunyonya mkojo na kumwacha mkavu ,sasa nepi akishakojolea kunakuaachwa ukavu hapo,pili WENYEWE nepi inakuwa ngumu mtoto akikojolea ️kutokwa Kwenye nguo Ni rahisi na kwao wana winter ️sasa mtoto sindio ataumwa zaidi...
Chakula hakiwi fresh natural ndio mana ️kuna organic food na ndio Bei sana ,hutumika Na watoto wadogo ,wazee,Na watu wa kawaida wanao jali afya Zao
Nina taka kuandika kitabu cha mapishi YA WATOTO ila sijajua ,je nahitaji kukipeleka ️KWA wizara YA Afya ,Au dakatr akipitie au inakuwaje! Na vp wale wakukisahihi lugha lazima niwapelekee?naombeni mwongozo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.