Recent content by Binti Kirembwe

  1. Binti Kirembwe

    Ni kosa kuoa katika familia ya kichawi?

    Haki Lillah ukoo ukiwa na mambo ya kichawi sio wakuoa kabsa ,wale wanavyama vya kutoa ,na uwa ni zamu sasa ikifika zamu ya mkweo kutoa ,ndio unafaham kwanini kuoa familia ya kichaw sio jambo lenye afya katka ustaw wa jamii , Watakutesea wanao hadi ufilisike kwa kutibu ,kumbe remote ya yote ipo...
  2. Binti Kirembwe

    Nawaza kuacha kazi, naona sihitajiki na kampuni ninayofanyia kazi

    Watu kama nyie ndio maana SA mulikua mnachomwa , mwenzio analia mshahara unashushwa weye Wataka kwenda kufanya kwa nusu mshahara,. Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
  3. Binti Kirembwe

    Nalia na VPN

    Tumia online VPN aina haja ya ku download vpn Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
  4. Binti Kirembwe

    Je, hali ya ofisi nyingi na makampuni mengi kutaka interns na volunteers ni jambo sahihi?

    Kiukweli huu ni unyonyaji ,kuna watu wana jitolea had mwaka na nusu, had unajiuliza kama wanaitaj man power kwanini wasiajir hata temporary contracts za mwaka Moja moja, Wanakudanganya na elfu 40 ,zao za weekly, haki mim bora niuze genge langu
  5. Binti Kirembwe

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameviagiza vyuo vikuu vyote nchini, kufanya mapitio ya mitaala, ili iweze kuendana na mahitaji halisi ya sasa

    Tatizo maprofesa wetu , awafanyie tafiti na kujua dunia inaelekea wap, wao wapo bize na mambo yale yale ya miaka ya 70 ,walio soma wao
  6. Binti Kirembwe

    Afariki baada ya kushinda shindano la kunywa pombe kali

    Hahahahahaha 27,000/- apewe mrithi !!!!
  7. Binti Kirembwe

    Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

    Allah akujaalie kila lililo la kheri Sheikh umenena yaliyo ya Kweli kabsa ,. Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
  8. Binti Kirembwe

    Natafuta rice cooker!

    Fanya 50,000/-ninayo ya kupika kilo mbili
  9. Binti Kirembwe

    Nigeria: Wanafunzi Wamuua Mwanafunzi Mkristo na Kumchoma Moto Wakitekeleza Sharia ya Uislamu

    Cha msingi hapa kila mtu aipe heshima iman ya mwenzie haya wala ayatakuepo,maana hata mtume Muhammad alipo amua kuhama kwenda madina aliwakuta wakristo na wasio na dini na aliish nao vyema tu ,kwa kila mmoja kuish kwa kumuheshim mwengine ,haya mambo yakuona imani yako ni bora kuliko nyengine...
  10. Binti Kirembwe

    Masundosundo ya kwenye Uume yananisumbua sana. Nimetumia kila dawa imegoma. Msaada wa haraka nahitaji

    Ipo cream Moja inaitwa podophyllne ila hii dukan uuziwi had uwe na cheti ,tena na percentage yake pia iandikwe maana ni hatar ukitumia holela holela utajuta kuifaham
  11. Binti Kirembwe

    Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

    Shekhe hata dini inasema hivyo ,road side robbers wauwawe na maiti zao zitundikwe sokon kila mtu azione ,huyo kakosea kumuacha hai
  12. Binti Kirembwe

    Nilipambana na panya road nikawagalagaza wakatokomea

    Unaweza usipambane na wakakujerui hivyo hivyo, aisee mim nimezaliwa mara Moja na kufa ni mara Moja tu, siwezi kuwa muoga kwa kiwango hiki, haya mambo yalisha wai kutokea nchi flani nilikuepo na tulishirikiana ,mbona walikwisha ,ilaupuuzi wa watu wa Dar,utawagharim mno, Yani mtaa mzima unavamiwa...
  13. Binti Kirembwe

    RC Makalla: Kuanzia usiku wa leo hakuna Panya Road atasalimika, operesheni inayoanza si salama kwao

    Maisha kuwa magum awakupatii kibali cha kudhuru watu na kuwaibia ,tumetokea huko huko ,kushindia andaz Moja had jion ,tena unavuta mda chai unakunywa saa Sita au saba kasoro ili izibe gap ya lunch, na atujawai dhuru mtu , hawa ni majambazi ,na wameyachagua Maisha hayo na lazima waangamizwe kwa...
Back
Top Bottom