Haki Lillah ukoo ukiwa na mambo ya kichawi sio wakuoa kabsa ,wale wanavyama vya kutoa ,na uwa ni zamu sasa ikifika zamu ya mkweo kutoa ,ndio unafaham kwanini kuoa familia ya kichaw sio jambo lenye afya katka ustaw wa jamii ,
Watakutesea wanao hadi ufilisike kwa kutibu ,kumbe remote ya yote ipo...
Watu kama nyie ndio maana SA mulikua mnachomwa , mwenzio analia mshahara unashushwa weye Wataka kwenda kufanya kwa nusu mshahara,.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Kiukweli huu ni unyonyaji ,kuna watu wana jitolea had mwaka na nusu, had unajiuliza kama wanaitaj man power kwanini wasiajir hata temporary contracts za mwaka Moja moja,
Wanakudanganya na elfu 40 ,zao za weekly, haki mim bora niuze genge langu
Cha msingi hapa kila mtu aipe heshima iman ya mwenzie haya wala ayatakuepo,maana hata mtume Muhammad alipo amua kuhama kwenda madina aliwakuta wakristo na wasio na dini na aliish nao vyema tu ,kwa kila mmoja kuish kwa kumuheshim mwengine ,haya mambo yakuona imani yako ni bora kuliko nyengine...
Ipo cream Moja inaitwa podophyllne ila hii dukan uuziwi had uwe na cheti ,tena na percentage yake pia iandikwe maana ni hatar ukitumia holela holela utajuta kuifaham
Unaweza usipambane na wakakujerui hivyo hivyo, aisee mim nimezaliwa mara Moja na kufa ni mara Moja tu, siwezi kuwa muoga kwa kiwango hiki, haya mambo yalisha wai kutokea nchi flani nilikuepo na tulishirikiana ,mbona walikwisha ,ilaupuuzi wa watu wa Dar,utawagharim mno,
Yani mtaa mzima unavamiwa...
Maisha kuwa magum awakupatii kibali cha kudhuru watu na kuwaibia ,tumetokea huko huko ,kushindia andaz Moja had jion ,tena unavuta mda chai unakunywa saa Sita au saba kasoro ili izibe gap ya lunch, na atujawai dhuru mtu , hawa ni majambazi ,na wameyachagua Maisha hayo na lazima waangamizwe kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.