Hao unaowadharau ndio Chadema wanalilia kura zao
Ndio waliwapa Chadema kura million 6 wakapata ruzuku ya Kila million 300 kwa mwezi ,wakanunua magaru ya movement for change
Usiwadharau
Ukiachana na mihemko ya humu JF na Twitter kwa baadhi, ukweli ni kwamba kwa ground, SUKUMA GANG, wana mtaji wa watu wengi ambao ni tabaka la chini, kwa utafiti tu mdogo kati ya wananchi 10... wananchi 7 wanaamini maono na itikadi za Hayati JPM, huu ni ukweli ukitembelea wananchi kama mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.