Recent content by Bint Francis

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mtunza mahesabu vs Muhasibu

    Elimu murua
  2. B

    JamiiForums Tanzania Pumzika kwa amani Jesca Mmari

    Aah kumbe pale. Miezi miwili nyuma nilishuhudia new model Toyota hilux maarufu bombadia ikilala chali pale.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Pumzika kwa amani Jesca Mmari

    Mmh au ndo ist niliyoikuta mtaroni kona ya iptl pale scansca? Mungu ampunzishe kwa amani kwa kweli
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tangu nimehamia nyumba mpya naota ndoto za ajabu za kutisha

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. B

    JamiiForums Tanzania Tangu nimehamia nyumba mpya naota ndoto za ajabu za kutisha

    [emoji848][emoji848][emoji2][emoji2]
  6. B

    JamiiForums Tanzania Tangu nimehamia nyumba mpya naota ndoto za ajabu za kutisha

    Aah ni hatari sana kwa kweli.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Tangu nimehamia nyumba mpya naota ndoto za ajabu za kutisha

    Sawa ila pazuri na karibu na barabara
  8. B

    JamiiForums Tanzania Tangu nimehamia nyumba mpya naota ndoto za ajabu za kutisha

    Habarini wana jamii, Nisaidieni jamani. Tamgu nihamie nyumba moja hivi Tegeta nimekuwa naota ndoto za ajabu na kutisha. Pia sina amani kabisa hata nikiwa macho mchana mara mlango umejifunga, mara naitwa na hakuna mtu mara maji yanatoka chooni. Karibuni kwa ushauri.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mnapoachana kimapenzi hakuna haja ya kudaiana vitu mlivyopeana

    Umenikumbusha..nilidaiwa pants ati [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. B

    JamiiForums Tanzania Utambulisho

    Asante sana
  11. B

    JamiiForums Tanzania Utambulisho

    Asante sana
  12. B

    JamiiForums Tanzania Utambulisho

    Picha tena. Mbona sioni za wengine
  13. B

    JamiiForums Tanzania Utambulisho

    Hello Jamii Forum members. Naomba ukaribisho wenu na ushirikiano kwenye hii jamii mpya kwangu. Asanteni.
Back
Top Bottom