Sikuhizi city wameshaxoea kufungwa halftime then kipindi cha pili ndio wanaanza kucheza mpira lkn kwa ss mashabiki watatupa presha tu. Ile system ya kuwawahi mapema ndio ilikuwa nzuri sio hii ya kusubiri ufungwe ndio uanze mecgi
Huyu shekh nimemsikiliza mawaidha yake muda mrefu haya ku qoute aya wala hadith yeye na khabari za mizigo ya kibantu tu na wale wa kizungu yaani akimaanisha wembamba basi labda kwake itokee tu mm naona hapo hamna shekh ni mpenda mizigo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.