sioni tatiZo na naamini wanajeshi wa jwtz wanaakili nyingi kuliko wew ndiomaana wakaaamua kufanya hivo na unauhakika gani kwamba silaha ndio ziliishia pale?? unaweza ukanambia kwamba ulipita kambi ngapi za jeshi cku hyo unaona hakuna silaha kabisa kwa kudai kwamba silaha zimeenda kwenye...
Kwa wale hasa wanaotaka kurudi makwao, wew ntafute tu; idara sekondari: hii ni kama unataka kutoka mkoa wa iringa wilaya yeyote urudi kwenu tanga wilaya ya handeni, kama uko tayari fanya chap mawasiliano hayo hapo waweza cheki kwa hapa 0658586674 au kwa hapa hivi 0766717288
habari!? kwa mwalimu yeyote anayeteka kuhama Kituo kwa kubadilishana kutoka wilaya ya HAI mkoani KILIMANJARO kwenda wilaya yeyote mkoani BUKOBA -->idara msingi amtafute huyu hapa chap 0765399219
Huo ni uvivu tu wa kufikiri ndiomaana umeshndwa kuhoji na kujua, kwanza wew umesoma au unasoma chuo gan maana nahis kwa upeo wako mdogo wa kufikiri unaonekana ulifeli kidato cha pili ukashndwa kuendelea ndiomaana unaongea pumba tu.
huyo baba mdogo anafanya kazi gan hapo wizarani isije ikawa anafagia tu ofis au kupalilia maua tu ya hapo nje ndomaana anakosa muda wa kukaa na mwanae wakaongea vitu vya maana mpaka kufikia hatua ya kuongea vitu vya kipuuzi kama hivi na mwanae, au na yeye ni mzee wa magumashi nin?
Anatafutwa wa kukuja Arusha jiji akitokea iringa mujini, mafinga mujini, morogoro mujini au mbeya jiji aliyetayari anicheki kwa hapa hivi >binasbeatus@gmail.com au hapa >0782586674
idara>sekondari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.