Ni suala dogo ndg km una convincing power unaweza kulitatua. Tumia uelewa wako mm naamini atabadilika. Tatizo lako nami nimepitia mke wangu alikuwa mnywa pombe kali, bangi na mkorofi ila sasa km kawaida na kaacha tabia zote baada ya kutumia maneno ya busara
Katika maisha usiruhusu akili dogo kutawala akili kubwa. Usicheze na moyo wa mwanadamu una nguvu kubwa sana na mwenyezi mungu alifanya yake. Elimu au kimo cha mtu si kitu ktk love ukitaka mwanamke hasikuheshimu ni ww mwenyewe unaweza kuwa chanzo. Km ww ni mwanaume na unatoa maneno ya kashfa na...
Pole sana kwa hilo tatizo, ni kweli suala la punyeto ni tatizo kwa vijana walio wengi. Kwanza nakupongeza kwa kuamua kujieleza ni hatua nzuri ya kushinda huo mitihani. Moja usipende kukaa mwenyewe muda mwingi hasa kukaa mwenyewe chumbani, pili acha kuagalia mikanda ya x, picha za uchi, au...
Pole sana. Hapo kuna mambo mengi yanayoweza kupelekea hilo tatizo moja ni mazoea, pili ni aibu, tatu yy anahisi ukimshika hiyo anadhani km unamtekenya, nne labda ni sehemu yenye sensitive sana na mwisho anaweza kuwa na mapepo toka zamani mapepo yamemcontroll nadhani hata tendo analichukia.
Amani ya mwanadamu ujengwa na vitu vitano utu, heshima, uadilifu huruma na upendo. Ndg yangu kuna mahali ulijikwa ila nisingependa kukutwisha lawama. Mwanaume ana uwezo wa kujenga ndoa bora au kujenga ndoa iliyokosa mambo matano niliyotaja hebu kaa chini na mkeo mahali tulivu tumia maneno ya...
Ni jambo la kusikitisha sana kuona wanadamu tumekuwa na roho ya kinyama hivyo. Hata km umemfumania mke wako au mme si vema kuchukua maamzi ya kutoa uhai wa mtu. Hapo ni kupima km je anafaa kuendelea kuwa mke au mme maana ukiendekeza hasira mwisho wake ni mateso maisha yako yote
Ndg usitoe hukumu moja kwa moja halo ni suala la ndani. Pia madenii sehemu ya maisha kwani hauwezi juu mipango yao pia usifikiri maendeleo ni Nyumba, gari au kutokuwa na madeni. Maendeleo ni dhana pana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.