Watanzania tushazoea na ndio desturi yetu kuwa mtoto hawezi kubishana na baba wakati yu katika himaya ya baba yake,..Tusome alama za nyakati aisee......baba akikosea utumie njia gani kumkosoa?, Hebu nisaidieni kujibu
Kama kawaida, siku zote changamoto ndio mwanzo wa mafanikio, kiukweli hivi karibuni kumezuka mengi sana na kila mtu anaongea lake, wapo wanamlaumu Rais Magufuli na pia wapo wanao laumu upinzani kwa kile kinachoitwa kutoa siri za taifa, uchochezi na kadhalika.
Binafsi mimi naona hizi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.