Recent content by billionea alpha

  1. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi pia nimepiga 3 mfululizo, ngoja none itakuwaje.
  2. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ukifika oral nyingi hivi tena mfululizo, zinasaidiaje kwenye kupata kazi, ikiwa sehemu fulani uli-pass sema nafasi ilikuwa moja au mbili.Wanakusaidiaje?
  3. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi mule mtu akijibu majibu ya uongo anapata marks? Aunninsawa na yule aliye kaa kimya tuu?
  4. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aisee!So hapo usipoona placement letter, wasalimie kwenu moja kwa moja?
  5. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi wakuu, waliofanya oral tarehe 14 April tokeo lao lini?
  6. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

    Kama ilivyo kwa magari na vinginevyo.... vimetengenezwa.Basi hata dunia hii mmiliki yupo.
  7. billionea alpha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilipoteza kazi akanikataa, sasa anataka turudiane!

    Piga chini, hiyo ng'ombe. Usithubutu kumrudia....
  8. billionea alpha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume HIV+ uko wapi mwenza wangu?

    Pole sana,Mungu akupe haja ya moyp wako.Wenye vigezo watakuja.Amini hivyo....
  9. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

    Watu wenye lodge na migahawa wanapambania ugali wao.....
  10. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Ujasikitika kuona Wanaija ni 200M+ na WATz ni 60M+
  11. billionea alpha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke amekuwa mhitaji sana wa pesa

    Kmmk ,wewe ni fala haswa.
  12. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Una mipango gani kwa miaka 10-20 ijayo?

    10-20 years ijayo, nataka Forbes wanitambue kama billionea kutoka Tz.Asanteni!
  13. billionea alpha

    JamiiForums Tanzania Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Jitafakari ndugu yangu [emoji2],unatia aibu ndugu yangu.kama wewe ujipendi waonee huruma hao wanao na wajukuu zako basi.
Back
Top Bottom