Recent content by billionea alpha

  1. billionea alpha

    Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini?

    Kama ilivyo kwa magari na vinginevyo.... vimetengenezwa.Basi hata dunia hii mmiliki yupo.
  2. billionea alpha

    Nilipoteza kazi akanikataa, sasa anataka turudiane!

    Piga chini, hiyo ng'ombe. Usithubutu kumrudia....
  3. billionea alpha

    Mume HIV+ uko wapi mwenza wangu?

    Pole sana,Mungu akupe haja ya moyp wako.Wenye vigezo watakuja.Amini hivyo....
  4. billionea alpha

    Nashauri safari za mabasi kutembea saa 24 zisitishwe, vifo vitamaliza watu

    Watu wenye lodge na migahawa wanapambania ugali wao.....
  5. billionea alpha

    Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Ujasikitika kuona Wanaija ni 200M+ na WATz ni 60M+
  6. billionea alpha

    Huyu mwanamke amekuwa mhitaji sana wa pesa

    Kmmk ,wewe ni fala haswa.
  7. billionea alpha

    Una mipango gani kwa miaka 10-20 ijayo?

    10-20 years ijayo, nataka Forbes wanitambue kama billionea kutoka Tz.Asanteni!
  8. billionea alpha

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Jitafakari ndugu yangu [emoji2],unatia aibu ndugu yangu.kama wewe ujipendi waonee huruma hao wanao na wajukuu zako basi.
  9. billionea alpha

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Huyu jamaa ni bonge la jinga ,na Watu kama hawa ndo mtaji.mkubwa wa CCM.Waarabu wanaona mbali future za watoto zao na wajukuu zao.Kaachini fikiria vyema utajua kuwa wamekosea...
  10. billionea alpha

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Unakuja kutetea kitu usicho kijua!Inashangaza sana!
  11. billionea alpha

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.
  12. billionea alpha

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Nanyie mnataka tukilubali?Nyie kinanani nchi hii?Uwezi kukubali upambavu kama huu wa mkataba wa bandari ,ikiwa kichwani ni timamu .
Back
Top Bottom