Huyu jamaa ni bonge la jinga ,na Watu kama hawa ndo mtaji.mkubwa wa CCM.Waarabu wanaona mbali future za watoto zao na wajukuu zao.Kaachini fikiria vyema utajua kuwa wamekosea...
Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.