Ni ngumu sana, nzito haichanganyi mi napenda speed, yaan bodi lake zito, seat za nyuma za kimaskini sana zipo kama kigoda, yangu ni 5 seat, inapendeza ingekuwa 7 seat maana buti kubwa kupiatiliza karibu nusu ya gari. Ila kwa sisi maskini ni gari nzuri sana kwa sababu ya bei yake ndogo
Binafsi nipo upande wa irani, na iran hadi kufikia sasa hajaangushwa binafsi nahesabu ameshinda vita hata kama atashindwa. Nionavyo irani itachakazwa vibaya ila marekani hatakaa aishi kwa amani tena, waislam wale wana kisasi cha maisha na marekani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.