Nimenunua outlander 2450cc afu mafuta yamepanda, naona mzigo, nlikiwa natumia passo 990cc na kila week nlikuwa nasafiri 500 to 600 km sasa hili dubwasha mhhj. Watu walikuwa wananicheka nadrive gari sio ya hadhi yangu, nlinunua kuwanyamazisha sasa inanikomesha mafuta ila naitumia hivohivo
Kuna shida na earthing nyumbani kwako, angalia vizuri kwa kuita fundi. Kuna siku nliishi mbagala kongowe so usiku nikasikia jirani anakemea mapepo hakulala usiku kucha, kesho yake toka asubuhi hadi jioni anasali tu, na usiku tena anasali mda mrefu, ilienda kama siku 4 hivi ikabidi nimuulize...
Nlijribu kuch kula wali n ugali hata mwezi sikutobo nikavunja agano, sikujua kama vyakula hivi vina arosto, maana nlikuwa nikiuona natamani kuukumbatia
Wazee ogopa mungu na tekinolojia. Huyu dada alisema anatumia 200.il kwa siku, hajawahi kula ugali katika maisha yake. Watu sijui wamezoom wapi anagonga ulali na mdudu. Mnaojua location mtuambie hapa wapi
Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.