Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo...
Nimeshatibu mzee alikuwa stage 4 amerudishwa ili afe, akaishi more 4 years alikuja kufa kwa enimonia. Tena bugando ambapo walimkataa akarudishwa hospitali ya wilaya kuja kusubiri kifo. Ndugu waliweka matanga wanachoka ikabidi waondoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.