Recent content by Billion Dolar

  1. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Nimenunua outlander 2450cc afu mafuta yamepanda, naona mzigo, nlikiwa natumia passo 990cc na kila week nlikuwa nasafiri 500 to 600 km sasa hili dubwasha mhhj. Watu walikuwa wananicheka nadrive gari sio ya hadhi yangu, nlinunua kuwanyamazisha sasa inanikomesha mafuta ila naitumia hivohivo
  2. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Mwili wangu umekuwa na shoti nyingi sana

    Kuna shida na earthing nyumbani kwako, angalia vizuri kwa kuita fundi. Kuna siku nliishi mbagala kongowe so usiku nikasikia jirani anakemea mapepo hakulala usiku kucha, kesho yake toka asubuhi hadi jioni anasali tu, na usiku tena anasali mda mrefu, ilienda kama siku 4 hivi ikabidi nimuulize...
  3. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Mimi sili ugali

    Nlijribu kuch kula wali n ugali hata mwezi sikutobo nikavunja agano, sikujua kama vyakula hivi vina arosto, maana nlikuwa nikiuona natamani kuukumbatia
  4. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Mimi sili ugali

    Wazee ogopa mungu na tekinolojia. Huyu dada alisema anatumia 200.il kwa siku, hajawahi kula ugali katika maisha yake. Watu sijui wamezoom wapi anagonga ulali na mdudu. Mnaojua location mtuambie hapa wapi
  5. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili

    Unalialia nini wakati unatoka majasho hukuja kusema hapa, mrequestie uber huo ni wajibu wako, and wewe ndnaona hauna akili
  6. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Napambana na uraibu wa kutamani wanawake

    Binafsi napenda sana wanawake but ni domo zege na ni introvent hii inanisaidia sana
  7. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Staafisha watumishi wenye miaka 45 na zaidi,halafu anzisha ajira za mikataba ya miaka mitano mitano!

    Miaka 45+ ndo watu potential ndo wengi ni viongozi kwa maana ya uzoefu km umelala amka binafsi nilianza kuwa kiongozi at this aga ss nakaribia 50
  8. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    250 20℅ ni 50, alika wote ila ukumbini wataingia wenye kadi
  9. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    Shukran kiongozi
  10. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    kama hujui whya umecoment si ungenyamaza tu,nimeomba kwa wanaokifahamu chuo.
  11. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    website yao https://www.mri.ac.tz/ haifungui ilishafungwa
  12. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo...
Back
Top Bottom