Recent content by Billion Dolar

  1. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Staafisha watumishi wenye miaka 45 na zaidi,halafu anzisha ajira za mikataba ya miaka mitano mitano!

    Miaka 45+ ndo watu potential ndo wengi ni viongozi kwa maana ya uzoefu km umelala amka binafsi nilianza kuwa kiongozi at this aga ss nakaribia 50
  2. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    250 20℅ ni 50, alika wote ila ukumbini wataingia wenye kadi
  3. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    Shukran kiongozi
  4. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    kama hujui whya umecoment si ungenyamaza tu,nimeomba kwa wanaokifahamu chuo.
  5. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    website yao https://www.mri.ac.tz/ haifungui ilishafungwa
  6. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    Nina mtoto wangu amemaliza form four, amechaguliwa kwenda kusoma mining engineering chuo cha madini dodoma (MRI) nimejaribu kufuatilia website ya chuo hawana, nimepiga simu zao +255 26 230 0472 za ofisi zimefungiwa hawajalipa bill muda mrefu, nimetuma email zimekuwa rejected kwa maana email hizo...
  7. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Usidate na mke wala mume wa mtu hiyo dhambi haitokuacha fuatilia wanaoteseka Leo hii wazazi wao

    Woga wako tu. Mke wa mtu ndo sumu ila sio mume
  8. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuelewe: Kama sisi hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja. Vivyohivyo kwa wanawake. Hakuna mwanamke anayeridhika na mwanaume mmoja!

    Kufuli linalofunguliwa na kila funguo hutupwa, ila funguo inayofungua kila kufuli hutunzwa. Linamaanisha funguo wala kufuli
  9. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Muungano ukivunjika kumbukeni Zanzibar maeneo yao Tanga, Bagamoyo, Dar es Salaam hadi kusini mwa pwani.

    Mtoa mada wala.hajui anachoongea amekasirishwa na wahuni wa mtaani
  10. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume, imerudi tena

    Nimeshatibu mzee alikuwa stage 4 amerudishwa ili afe, akaishi more 4 years alikuja kufa kwa enimonia. Tena bugando ambapo walimkataa akarudishwa hospitali ya wilaya kuja kusubiri kifo. Ndugu waliweka matanga wanachoka ikabidi waondoke
  11. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume, imerudi tena

    Hiyo haikuwa tezi dume coz ikiondolewa hairudi, hicho ni organ ikishaondolewa haioti.
  12. Billion Dolar

    JamiiForums Tanzania Naomba usaidizi: Uume hausimami

    At your age hiya ni kawaii mkuu, kuala vizuri, tanya mazoezi, zoea kutumia tsngazwizi, vitunguu swaum kila siku
Back
Top Bottom