Kumshinda mpinzani wako unatakiwa usishindane nae unatakiwa USHINDANE NA WEWE mwenyewe i mean improve ki huduma,bidhaa na kimbinu then automatically utakuwa ume mu win mpinzani wako
Kumshinda mpinzani wako unatakiwa usishindane nae unatakiwa USHINDANE NA WEWE mwenyewe i mean improve ki huduma,bidhaa na kimbinu then automatically utakuwa ume mu win mpinzani wako.
Na sisi matajiri hatuwataki nyie masikini maana masikini hafadhiriki wala haaminiki.
Masikin hana hoja ana HAJA na masikini ukimshibisha kwake ni kero na ukimuacha na njaa pia ni kero.ROHO YA MASIKINI INA MAOMBI MENGI SANA YA WATU WAPOROMOKE WAWE KAMA YEYE KULIKO MAOMBI YA YEYE KUNYANYUKA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.