Recent content by Billie

  1. Billie

    Naombeni mbinu za kumzidi kibiashara ya mpinzani wako

    Kumshinda mpinzani wako unatakiwa usishindane nae unatakiwa USHINDANE NA WEWE mwenyewe i mean improve ki huduma,bidhaa na kimbinu then automatically utakuwa ume mu win mpinzani wako
  2. Billie

    Naombeni mbinu za kumzidi kibiashara ya mpinzani wako

    Kumshinda mpinzani wako unatakiwa usishindane nae unatakiwa USHINDANE NA WEWE mwenyewe i mean improve ki huduma,bidhaa na kimbinu then automatically utakuwa ume mu win mpinzani wako.
  3. Billie

    Biharamulo: Kampeni, kura na matokeo!

    Habari ya 2009
  4. Billie

    GE2025 Gwajima: Tundu Lissu ana maneno makali ila Hayati Rais Magufuli alimvumilia 2020 na akashinda uchaguzi

    Hivi Tundulisu alitakiwa kuuliwa awamu ipi? Sema tu Jamaa ana roho ya paka
  5. Billie

    Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

    Dini,ushirikina,majini vyote ni matokeo ya watu dhaifu kifikra i mean wengi wao watumia hisia
  6. Billie

    Uzoefu katika maisha

    Na sisi matajiri hatuwataki nyie masikini maana masikini hafadhiriki wala haaminiki. Masikin hana hoja ana HAJA na masikini ukimshibisha kwake ni kero na ukimuacha na njaa pia ni kero.ROHO YA MASIKINI INA MAOMBI MENGI SANA YA WATU WAPOROMOKE WAWE KAMA YEYE KULIKO MAOMBI YA YEYE KUNYANYUKA
  7. Billie

    Je, Yesu wa Kikristo ni yule yule Nabii Isa wa Kiislamu? Tofauti ni zipi?

    Dini ni kifurushi cha ujinga kwa matahira
  8. Billie

    Tumbo langu linaunguruma sana hadi nakosa amani, halafu nikienda haja sipati kitu

    Dalili ya vidonda vya tumbo au wale virus wa papiroma
  9. Billie

    Kwanini Afrika sehemu kubwa haiendelei?

    RACE ya mtu mweusi ni ya kuonea huruma aisee upande wa kichwani Mungu aliweka ugali badala ya Ubongo ndoo maana mpaka leo Africa inahangaikia chakula
Back
Top Bottom