Samahani mkuu. kwamfano mtoto endapo kasomea udokta au uinjinia moja kwa mojaa chuo cha kati na alie pitia 5&6 na akaenda kusomea pia udokta au uinjinia wanatofautiana mkuu au nisawa tuu? nakweye ajira pia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.