Waziri mkuu wa Ufaransa, Manuel Valls, amesema polisi wamegundua kuwa mauaji yaliyotokea mjini Paris Ufaransa siku ya Ijumaa yalipangwa nchini Syria.
Aidha Valls ameonya kuwa mashambulizi zaidi yanapangwa dhidi ya Ufaransa na mataifa mengine ya bara Ulaya.
Waziri mkuu huyo anasena kuwa polisi...
hey great thinker mada kama inavyojieleza hapo juu.
NATUMIA MOJA YA SMARTPHONE HUWA KUNA TATIZO LINATOKEA PALE NINAPOHITAJI KUCOPY MUSIC KWENDA KWENY ADROID ISIPOKUWA KWA IPHONE AMBAYO ITUNES NI SOFTWARE YAKE JE IP NI MBADALA YA ZINGNE PALE NINAPOTUMIA USB PORTABLE?
Hiyo mikosi ndio pale aliposeama Apollo mm kwa uwelewa Wang hiyo bond its depend inakuja kwa njia gani.unajua kivip no HIVunaweza ukawa na mafanikio kwa kuwa na mahusiano ya kimapenz na mtu a halafu usiwe na mafanikia na mMTU b
‪#‎HABARI‬ WABUNGE VITI MAALUM CCM YAPATA 64, CHADEMA -36, NA CUF- 10
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo imetangaza idadi ya wabunge wa viti maalumu ambao vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vimepata baada ya kupata angalau asilimia 5 ya kura zote halali za wabunge nchi nzima...
‪#‎tanzania‬
Hii nchi yangu imeshaingia kuzimu sasa sir god anajibu.
Asubuhi jua kali mvua inanyesha nikitafakari kwa kina napata maarifa kuwakuna chance bado kwa watanzania kuona umuhimu wa uwepo wao.
Maoni juu ya katiba mpya hapa kuna watu wapo kwa madili na fursa...
Hey people niaje pande hiz i'm coming ki hivyo yani,
Nimekuwa natumia mda mrefu ps 2 games ila kutokana na tecknologia inavyokuwa nimekuja kufaham kuwa kuna matumizi ya usb flash kuhifadh games na kuzicheza katika ps2
Hivyo nimekuwa interesting kufaham hayo maujanja kama huna member ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.